ebook img

Zanzibar Ni njema atakaye na aje PDF

16 Pages·2012·8.22 MB·Swahili
by  
Save to my drive
Quick download
Download
Most books are stored in the elastic cloud where traffic is expensive. For this reason, we have a limit on daily download.

Preview Zanzibar Ni njema atakaye na aje

Uhalali wa Sauti ya Waislamu muungano kwanza katiba baadae Uk. 2 ISSN 0856 - 3861 Na. 996 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JAN. 27 - FEB. 2, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Wanafunzi waliofukuzwa Ndanda kurejeshwa shuleni Waliokiuka maadili ya uongozi kuchukuliwa hatua Waziri Shamhuna Wanafunzi wahoji, wampa Waziri kitabu cha utafiti atakiwa kujiuzulu Adaiwa kula njama kupeleka mafuta ya Zanzibar Bara Prof. Tibaijuka azidi kuwakoroga Wazanzibari Na Waandishi wetu, Zanzibar HALI si shwari kwa Waziri Ali Juma Shamhuna ambaye wajumbe wenzake wa Baraza la Wawakilishi Waziri Ali Juma Inaendelea Uk. 4 Shamhuna Polisi wapewa ‘bangi’ kuchukia Waislamu Hofu: Mtaala huo kutua CCP, Moshi, Kurasini Dar Na Mwandishi Wetu H A B A R I z i l i z o v u j a kutoka vyombo v ya u s a l a m a vya Marekani WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Shukuru Kawambwa (pichani juu) akiingia katika viwanja wa Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam vinaonyesha kuwa kupokea maandamano ya wanafunzi wa Kiislamu wa Shule mbalimbali, Ijumaa iliyopita. Picha chini ni baadhi ya wanafunzi hao. Inaendelea Uk. 4 IGP Said Mwema 2 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 TAHARIRI/HABARI AN-NUUR wameshakula bila jasho kazi ya wananchi kumtafuta wa kiutendaji ambao na bado zoezi la kubomoa mpimaji ofisini kwake, kwa utawalazimu maafisa wake S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. litafuata. Tunajiuliza, siku wakati wake, kumhonga, wa ardhi kutoka maofisini www.ipctz.org E-mail: [email protected] zote watumishi hawa kumpatia usafiri ndipo aje na kuwafuata wananchi Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top wanakuwa wapi wakati kupima au kutathimini walipo kuwapimia viwanja Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam wananchi wananunua kiwanja chako. vyao na kuwamilikisha. MAONI YETU viamba vyao na kujenga Lakini Kwa kuwa Uwepo utaratibu wa makazi pasipo kupimwa? utaratibu wa huduma hiyo malipo ambao wananchi Katika nchi zenye haupo hapa jijini, anayeweza wa kati na chini watamudu watendaji makini wa sekta kuipata huduma hiyo ni yule kulipia gharama za Upimaji viwanja usiishie Mabwepande ya ardhi, huwa unakuwa ni mwenye uwezo, ambaye upimaji wa maeneo yao na wajibu wa serikali kupima atalazimika kutoa rushwa na umilikishwaji. Ni aibu kwa viwanja kulingana na kumaliziwa shida yake mara serikali katika karne hii mahitaji na matumizi, na moja. Akina kabwela wao kusubiri gharika za mafuriko HIVI sasa serikali ipo vingapi na watu wakauziwa huuziwa watu wanaohitaji watalazimika kumfuatilia ndipo uanzishwe mchaka katika zoezi la kupima na kujenga makazi yao kwa ilimradi wanafuata taratibu ofisa ardhi ofisini kwake, mchaka wa zimamoto na kugawa viwanja kwa mpangilio mzuri?. na sheria. Katika nchi hizo, awapige kwanza kalenda kuwapimia wananchi waathirika wa mafuriko Kuna Idara ya Ardhi anayehitaji kiwanja huenda za hapa na pale kwa kuwa viwanja na kuweka yaliyosababishwa na mvua katika Manispaa na tu Idara husika na kupewa ‘mchuzi’ wao wa kuhonga miundombinu mfano wa kubwa zilizonyesha jijini Halmashauri zote jiji la ramani ya maeneo yenye ni haba ndipo baadae Mabwepande. Dar es Salaam mwishomi Dar es Salaam, kwa miaka viwanja vilivyopimwa na watimiziwe shida yao. Huduma ya upimaji na mwa mwaka jana. mingi wamekupo maafisa kuwekwa miundo mbinu Kwa mtindo huu hakuna umilikshaji si hatimiliki ya Mpaka sasa tayari zaidi ya ardhi walioajiriwa kwa kazi tayari. Huchagua kiwanja jinsi, watu wataendelea wenye uwezo pekee, bali viwanja 600 vimeshapimwa hiyo, kwa miaka mingi anachohitaji kulingana na kujinunulia maeneo na ni huduma kwa jamii na ni kwa jili ya kuwagawia wamekuwepo maafisa ardhi mahitaji yake, uwezo wake waathirika hao na zoezi katika Wizara ya Ardhi na na matumizi ya kiwanja kujijengea watakavyo, si jukumu la serikali kutekeleza la upimaji tunaambiwa maendeleo ya Makazi, hawa husika. kwa sababu wanapenda, ila kazi hiyo. kwamba bado linaendelea. ni watumishi walioajiriwa Akipata anachohitaji ni matokeo ya kukosekana Kama imewezekana Tayari visima saba vya maji kwa ajili ya kupima, huuziwa na kumilikishwa viwanja vilivyopimwa kuipima Mabwepande vimeshachimbwa. Kamanda kutathmini na kuthaminisha kwa makubaliano au kwa ajili ya kuuzia watu kwa muda mfupi tu, basi wa Polisi Kanda Maalum viwanja kwa ajili ya utaratibu uliowekwa. wanaohitaji. inawezekana zoezi la upimaji ya Dar es Salaam, Suleiman wananchi. Wameajiriwa ili Mfano mzuri ni katika Waziri wa Ardhi na viwanja likawa endelevu na Kova naye ametaarifu kuwahudumia wananchi na nchi kama Zimbabwe, Maendeleo ya Makazi, Prof. kuwa dawa ya kudumu ya kwamba jeshi la polisi kuboresha makazi ya watu. Botswana, Namibia, n.k. Anna Tibaijuka analazimika migogoro ya ardhi na ujenzi linajenga kituo cha Polisi Kila mwezi wanalipwa Huo ndio utaratibu. Haiwi kuweka utaratibu holela jijini Dar es Salaam. eneo hilo la Mabwepande mishahara kupitia kodi ili kuweka usalama na za wananchi, kila siku Uhalali wa muungano kwanza katiba baadae kuwalinda waathirika na wanaamka asubuhi kwenda mali zao katika kipindi hiki kazini na kurejea majumbani cha zoezi la kuwahamisha. mwao jioni, wanachofanya Ni kauli ya Masheikh Zanzibar katika wakati huu ambao Zoezi linalofanyika ni nini kama hakuna viwanja nchi imeanza kukabiliwa Mabwepande linadhihirisha vilivyopimwa jijini? na changamoto za siasa za kwamba kumbe serikali Ukiacha maeneo ya Na Waandishi wetu, M s e l l e m a m b a y o makundi kwa misingi ya ikiamua na watumishi wake katikati ya jiji kama Zanzibar ilipokelewa na kuungwa udini na ukabila. wakiwajibika ipasavyo Kariakoo, Posta, Upanga, mkono na sehemu kubwa Masheikh walisikika katika nafasi zao za kazi, Masaki, Oysterbay, Mbezi ya wajumbe wa kikao hicho wakisema huu ni wakati inaweza kutatua tatizo sugu Beach, baadhi ya maeneo IMEELEZWA kuwa ili cha pamoja, inatokana na ambao Zanzibar inalazimika jijini Dar es Salaam la ujenzi ya Magomeni, Ilala na kuimarisha muungano, kile walichotaja ni kuwapo kuchukua nafasi yake ya holela na uhaba wa viwanja baadhi ya maeneo ya pana haja kujadili misingi kwa manung’uniko ya kila wadhifa wa Urais wa Jamhuri vilivyopimwa kwa ajili ya Temeke, Si Kimara, Mbezi, na kuhakiki uhalali wake upande, Tanzania Bara ya Muungano wa Tanzania, makazi ya wananchi. Pugu, Mbagala, Boko, kwanza kabla ya kujadili na Zanzibar, ya kwamba hasa baada ya awamu Kwamba iwapo wahusika Bunju, Kitunda, Kibamba, katiba mpya. muungano huo haukuweka zilizopita kuongozwa na wataamua kuacha usingizi Kiluvya, Mpigi, Bonyokwa Hayo yamesemwa na misingi yake ya kisheria Tanzania Bara mfululizo. maofisini na kufanya na kwingineko kando ya baadhi ya Masheikh katika na haupo kwa mujibu wa Pamoja na mengi kikao kinachoendelea kazi kama walivyofanya jiji ambako kumepimwa mikataba inayoeleweka. yaliyoendelea kujadiliwa visiwani hapa. Mabwepande, kuna viwanja kwa ajili ya Baadhi ya Masheikh katika mfululizo wa Azma ya mkusanyiko uwezekano mkubwa wa makazi. walisikika katika kikao hicho mikusanyiko, Masheikh huo ulioandaliwa na Baraza kupimwa viwanja vya Kote huko watu hata wakijadili maelezo ya wameendelea kutafakari juu la Jumuiya na Taasisi za kutosha na kuwauzia wakazi wamekuwa wakinunua aliyekuwa Mwanasheria ya hatua za kumezwa kwa Kiislamu nchini, ilikuwa ni wa jiji la Dar es Salaam kwa viamba na kujijengea, Mkuu wa Zanzibar , Bw. kujadili nafasi ya Waislamu Zanzibar kupitia Muungano ajili ya ujenzi wa nyumba alimradi papatikane Iddi Pandu Hassan, ambaye katika Mabadiliko ya Katiba na pia Jumuiya ya Afrika ya za makazi, na zoezi likawa mahali pa kujisitiri. Kama aliwahi kuiambia Mahakama ya Jamhuri ya Muungano Mashariki. endelevu ili kuuweka ni kupima, kila mmoja Kuu ya Zanzibar , kwamba wa Tanzania; ambapo Wamesema Zanzibar mji katika mandhari na anajipimia kivyake, sio kwa Ofisi yake haikuwahi kuona walisema ni vyema kwanza imepoteza nafasi na heshima mpangilio mzuri na kuepuka kufuata Mipango Miji. kile kilichoitwa Mkataba wa kuangalia hali za kuthibiti yake kwa ujumla hali misongamano na mogogoro Lakini pamoja na jitihada Muungano, uliounganisha kwa fungamano hilo katika iliyodhoofisha nyanja zote ya viwanja isiyokuwa ya za wananchi kujenga Jamhuri mbili huru za lazima. vibanda vyao kujihifadhi, medani za kisheria. Zanzibar na Tanganyika za maisha. Lakini kwasababu ya kile ndipo baadae watu wa Masheikh hao wamesema mwaka 1964. Wa l i c h o e n d e l e a kinachoonekana kuwa ni ardhi kutoka Manispaa, kabla ya kujadili mambo Bw. Pandu alitoa jawabu kutafakari Masheikh ni uvivu tu, na uzembe, serikali Halmashauri za miji na gani ya msingi ya kufanyia hiyo pale alipotakiwa juu ya njia muafaka ya pamoja na watumishi katika Wizarani wanatoka huko marekebisho ipo haja ya na Mahakama kujibu kuirejesha nafasi na heshima kubaini mazingira yaliyokuja sekta za ardhi, mipango miji wanakoshida kila siku hoja ya Wazanzibari 10 ya Zanzibar , ambapo kuasisi Muungano huo na na makazi wameshindwa na kuja kuwabughudhi waliowasilisha dai hilo wamesema iwe iwavyo sasa iwapo unayo mashiko ya kutimiza wajibu wao kwa wananchi na porojo kutaka ufafanuzi. wakati umewadia wa kufikia kisheria. umma, hivyo kuruhusu za kusimamisha ujenzi, Juu ya nani anayefaa hatua hiyo. “Kwanza hebu jamani wananchi hasa wa uwezo wa kuvunja haparuhusiwi kumrithi Rais Kikwete katika Mikusanyiko hiyo ambayo tuangalie kabla kufika mbali kati na wa chini kuendeleza kujengwa, hapajapimwa, Kiti cha Uraisi wa Jamhuri mwishoni mwa wiki hii upande wa mabadiliko ujenzi holela katika maeneo eneo ni kwa ajili ya miundo ya Muungano wa Tanzania itawakusanya pia wasomi, ya Katiba ya Jamhuri ya mbalimbali ya jiji, kwasababu mbinu n.k. , Masheikh walisikika wanataaluma, wanasiasa Muungano wa Tanzania, jee wamekosa huduma ya Wakati mwingine wakisema siyo hoja kwamba na viongozi mbali mbali, huo Muungano wenyewe viwanja vilivyopimwa hayo hufanyika bila hata lazima akiondoka Kiongozi imeahidi kwamba hatimaye upo kihalali”, alihoji Sheikh kutoka katika serikali yao. fidia. Hata ikitolewa, Muislamu ampishe watatoa msimamo imara Msellem Aliy Msellem Kama wiki tatu zimetosha basi itachotwa njiani na Mkristo. juu ya kile jamii na umma alipokuwa akijaribu kupitia kupima viwanja 600 itakapomfikia mlengwa Walisema la msingi ni kwa ujumla wanachokihitaji sehemu ya ajenda za kikao Mabwepande, mwaka inakuwa imebakia kuangalia nani mwenye sifa katika kuamua mustakbali hicho. mmoja vingepimwa viwanja kiduchu. Kikubwa walafi za kuliongoza Taifa hasa na hatma ya Taifa. Hoja hiyo ya Sheikh HABARI RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 AN-NUUR 3 Wanafunzi waliofukuzwa Ndanda kurejeshwa shuleni Na Bakari Mwakangwale madarakani yanapoibuka masuala yanayowahusu SERIKALI imeahidi Waislamu wanakuwa kuwarejesha wanafunzi wazito kuyatolea 20 wa Shule ya Sekondari ufumbuzi, tofauti na Ndanda waliofukuzwa wenzao Wakristo waliopo baada ya kutokea serikalini. mtafaruku wa kidini. Mwanafunzi huyo Serikali pia imeahidi alitoa mfano sakata la kulifuatilia suala hilo kwa serikali kufuta misamaha undani na kuwachukulia ya kodi kwa asasi za hatua watakaobainika kidini ambapo Maaskofu kukiuka maadilio ya waliijia juu serikali na uongozi. kupelekea Waziri Mkuu Waziri wa Elimu na Mizengo Pinda (Mkristo) Mafunzo ya Ufundi, kutoa kauli na kusimamia Mheshimiwa Shukuru msimamo na matakwa ya Kawambwa ametoa Maaskofu. msimamo huo wa mbele Aw a l i , Wa z i r i ya umati wa wanafunzi Kawambwa akiongea wa Kiislamu wa Shule na wanafunzi hao akiwa mbalimbali na Vyuo amezunguukwa na baada ya kuhitimisha maafisa wa jeshi laPolisi, maandamano yao katika wakiongozwa Kamanda viwanja vya Kidongo wa Kanda Maalum, Chekundu Jijini Dar es Suleiman Kova, alisema Salaam, Ijumaa iliyopita. wanafunzi waliofukuzwa RAIS wa Jumuiya ya wanafunzi wa Kiislamu (TAMSYA), Bw. Jafar Mneke Mbali ya kupokea ahadi katika shule ya Sekondari akiongea na waandishi wa habari katika viwanja vya Kidongo Chekundu. hiyo ya serikali, wanafunzi Ndanda, watarudishwa walimuuliza maswali shuleni na watafanya akiwatambia wanafunzi na vyuoni ili kuyapatia makubwa ya Wanafunzi Waziri huyo wakitaka mtihani bila mashariti wa Kiislamu shuleni hapo, suluhisho la kudumu. kutoka shule na vyuo ufafanuzi, kwamba yoyote. kuwa “Shule hii (Ndanda) Wanafunzi hao mbalimbali yamekuja inakuwaje Wakuu wa Alisema kwamba, ilikuwa ni ya Kanisa walimueleza Waziri kwa anuani ya kupinga Shule, takribani zote serikali imekerwa kuona kabla ya kutaifishwa na Kawambwa, kuwa na kukithiri kwa dhulma, za Sokondari nchini ni taifa limewasomesha serikali, hivyo ardhi na hawatakuwa tayari uonevu, ubaguzi na Wakristo. kuanzia darasa la kwanza, mamlaka ya matumizi kuanzia sasa kuona madhila wanayofanyiwa Hali hiyo ilijiri mara leo wanakwamishwa bado ni mali ya Kanisa na wananyanyasika na wanafunzi wa Kiislamu. baada ya Mheshimiwa wakiwa wamefika katika serikali inachomiliki hapa kwamba mwisho wa hayo Waziri, kumaliza kujibu ngazi ya juu ya elimu ni majengo tu”. yote ni baada ya kufikisha Maandamano hayo risala ya wanafunzi wakitarajiwa kuwa Waziri Kawambwa, kilio chao kwa Wizara yamechagizwa zaidi na ambapo mamia ya wataalamu katika fani alisema kauli hiyo si ya husika. tukio la hivi karibuni wanafunzi walinyoosha mbalimbali. kweli pamoja na kwamba “Mheshimiwa Waziri, lililotokea katika Shule mikono juu wakiashiria “Kazi kubwa iliyopo ni kweli serikali ya awamu hatutakuwa tayari ya Sekondari Ndanda, kuwa na maswali sasa si tu kuwarejesha ya kwanza ilitaifisha kuanzia wakati huu Mikoani Mtwara, baada yaliyohitaji majibu na wanafunzi wa Ndanda, mashule ya taasisi zingine kuona tunadhulumiwa ya uongozi wa Shule hiyo ufafanuzi kutoka kwa bali ina kazi kubwa kwa asilimia mia moja, haki zetu, kwani kuwafukuza wanafunzi Waziri. kuwachukulia hatua majengo na kila kitu, mwisho wa unyonge, wa Kiislamu 20. Mmoja wa wanafunzi za kisheria wahusika itabaki kuwa hivyo na dhulma, unyanyasaji na Imedaiwa kuwa hao akiwa na kitabu ili kuhakikisha tukio serikali inawajibika kwa ubaguzi umefika tamati Wa n a f u n z i h a o cha “Mfumo Kristo na kama hili …halijirudii kila kitu. leo.” Alisema Rais wa walifukuzwa baada ya Dhulma Dhidi ya Haki tena.” Alisema Waziri Katika risala yao mbele TAMSYA. kudai eneo la kufanyia za Waislamu Nchini”, Kawambwa. ya Waziri wa Elimu na Maandamano hayo ibada, kama ambavyo aliuliza kwa nini hakuna Alisema, serikali italinda Mafunzo ya Ufundi, yaliyoanza katika misikiti we z a o Wa k r i s t o uwiano sawa kwa Wakuu usawa, haki na amani kwa iliyosomwa na Rais wa mbalimbali ya Ijumaa walivyotengewa. wa Shule za Sekondari. wanafunzi wote, wa dini Jumuiya ya Wanafunzi ya Jijini Dar es Salaam, Aidha walikuwa “Mheshimiwa Waziri zote na makabila yote kwa wa Kiislamu Tanzania yalipata upinzani mkali wakipinga Kanisa suala hili limefanyiwa kuhakikisha wanapata (TAMSYA), Jaffar Said kutoka kwa Jeshi la kuingilia uchaguzi wa uchunguzi na data tunazo, haki sawa katika shule za Polisi, kwa kuwazuia Mneke, waliiomba serikali serikali ya wanafunzi, hakuna uwiano sawa kati serikali. kufika Wizara ya Elimu kuwarejesha wanafunzi pamoja na kulalamikia ya Waislamu na Wakristo Waziri Kawamba wakiwataka kwenda 20, waliofukuzwa katika lugha za kashfa dhidi yao kwa walimu wakuu katika amesema kuwa, serikali Kidongo Chekundu. shule ya sekondari Ndanda na dini yao zinazotolewa shule za serikali, na katika haitakubali kuona Maafande hao wa Polisi, pamoja na kutengua na mkuu wa shule hiyo idara zingine za elimu.” wanafunzi wakiandamana walilazimika kuongea mashariti waliyowekewa (Bw. Joseph Sowani). Alisema mwanafunzi tena wakilalamikia na Rais wa TAMSYA, wanafunzi walionusurika Na wale waliopewa huyo huku akinukuu data kuonewa kiimani au Jaffar Mneke, wakimsihi hizo kutoka katika kitabu kikabila. kufukuzwa kwani kuwa maandamano onyo, walitakiwa kurudi hicho, ambapo alipomaliza Akitolea maelezo mashariti hayo yanawatoa hayo yaelekee viwanja shuleni hapo kwa kunukuu, mwanafunzi kipengele cha risala ya katika imani yao. vya Kidongo Chekundu, mashariti ya kutojihusisha huyo alimkabidhi Waziri wanafunzi hao waliotaka Wanafunzi hao pia kwani Mheshimiwa Waziri na Uislamu kwa muda kitabu hicho. ufafanuzi juu ya madai waliiomba serikali kuunda wa Elimu na Mafunzo wote watakao kuwapo tume huru ya kuyatafiti shuleni hapo, sharti Mwanafunzi mwingine ya kauli ya Mkuu wa ya Ufundi atafika hapo matatizo ya wanafunzi ambalo linawapora haki aliuliza, kwa nini viongozi Shule ya Sekondari ya kuwasikiliza. wa Kiislamu mashuleni ya kikatiba ya kuabudu. Waislamu waliopo Ndanda, aliyenukuliwa Maandamano hayo 4 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 HABARI Wengi miongoni mwa Waziri Shamhuna Wajumbe wa Baraza la mafuta yaliyobainika kuwapo huyo za kuwatelekeza. Wawakilishi na hata wananchi upande wa Pwani ya Visiwa “Siye hatumuoni kwa ujumla walionekana vya Unguja na Pemba, hasa Muwakilishi wala nani kuiwafiki hoja hiyo baada baada ya utafiti ulioendelea tunadhalilika na sasa iwe ya kile walichoeleza kubaini hivi karibuni kuthibitisha iwavyo hatukubali tena atakiwa kujiuzulu usaliti ndani ya Wizara ya uwezekano wa mafuta tutapambana kupigania Mheshimiwa Shamhuna hayo kuinamia upande wa haki zetu wenyewe”, alisema dhidi ya maslahi ya watu Visiwani na siyo Mwambao Mzee Juma Said Saleh wa Visiwa vya Unguja na wa Pwani ya Tanzania Bara, aliyeongozana na msafara Pemba . kama ilivyodaiwa hapo wa wananchi wenzake kuja Ni pale Wawakilishi hao kabla. serikalini kuwasilisha kilio Inatoka Uk. 1 kutoka nafasi ya Uwaziri wa wa Wananchi waliposema Wananchi walisikika chao. wanataka ajiuzulu. Serikali ya Zanzibar , kutokana “vyovyote iwavyo wakisema ama kweli Hii ni kutokana na hatua na kile walichokifafanua Mheshimiwa Shamhuna na “akumulikaye mchana ya mtu aliyeelezwa kuwa S h a m h u n a kuwa ni kutumia vibaya baadhi ya watendaji wake usiku akuchoma” pale muwekezaji kuyachukua anadaiwa kuisaliti madaraka na kukiuka taratibu wameshiriki kusaidia hila za walipokumbuka hatua ya mashamba ya wananchi wa za uongozi. kutaka kuinyima Zanzibar mheshimiwa Shamhuna Jimbo hilo , hali inayoendelea Zanzibar kutokana “Mheshimiwa Spika, naona raslimali zake zikiwamo za kushawishi matumizi kuwapo mivutano na na hatua yake ya kwa hatua hii ya mheshimiwa mafuta na mipaka ya Bahari makubwa ya nguvu za dola na misuguano mikubwa. Waziri ya kuisaliti na kutaka Kuu”. mabomu ya machozi kuzuia Kufuatia hali hiyo, baadhi kushiriki mpango kuiuza Zanzibar na pia Wajumbe wa Baraza mkutano wa hadhara wa ya wananchi waliwekwa wa kuongeza mpaka kutumia vibaya mamlaka la Wawakilishi kabla Chama cha CUF usifanyike kizuizini hivi karibuni, yake serikalini hapana ya tishio lao la kutaka katika Jimbo lake la Donge na hatimaye kupelekwa wa baharini wa budi akajiuzulu”, alisema kupiga kura kuyapitisha mwaka 2005, hatua iliyoleta mahakamani, kabla ya juhudi Tanzania ambao Muwakilishi wa Jimbo la maamuzi magumu dhidi hamasa ya mtafaruku za makusudi za Mwakilishi Kwamtipura Bw. Hamza ya mheshimiwa Shamhuna mkubwa wa hali ya kisiasa wa Jimbo la Kitope, Wilaya unadaiwa kuwa Hassan Juma alipokuwa na Mamlaka yake, nchini. ya Kaskazini B Unguja, Haji iwapo utafanikiwa akichangia hoja hiyo. walipendekeza kulituma Upande mwingine uliozidi Makame Mshimba, kama Hoja hiyo ya Mwakilishi suala hilo katika Baraza kumpa fadhaa mheshimiwa alivyoliambia Baraza la utafanya rasilimali Hamza ilisogea katika la Mapinduzi la Zanzibar Shamhuna wiki hii ni pale Wawakilishi, kulazimika ambazo kwa sasa ni ufafanuzi wa Mamlaka ili liingilie kati na kuzuiya makundi ya wananchi wa kwenda kuwakomboa, waliyonayo Wajumbe wa lile zoezi la Tanzania Bara jimbo lake kuibuka kumlaani wananchi hao wanaoteseka. za Zanzibar kuwa za Baraza hilo ya kupiga kura kuwasilisha ombi mbele ya kiongozi huyo chachu wa Baadhi ya wananchi Tanzania. ya kutokuwa na imani na Jamii ya Kimataifa kuomba siasa za Zanzibar na pia hao kwa ukali walisikika SNMPZmlahra yraoaWnzaukfmzi.da amaAibhzkidn biauaa wnratwn iai na al anmTi,j s eaiWkhTob uiatyaMraonijoiazk uza uniiruakeskginhnak iwem iwaadazamne aua (Adl ewkBeeasraoaaed ntr mkwihaeyki)oiaaaaa,, yjMhakakMulkeauaiuhayytismask eoehsh sattWeaiuehimnrn immiamdudkiziwlwa wiaiiwwrl vaeiiavn aan iyyi kbkkyS eoeaukuehy yk uwmoamwaumat aewaanmwj,h m izaRbaupaijladainiia kn biakasRkadri.a,s a a iw pahnkyisuoaaaaa, klhnnTnaauaaai nbo Wophka znwiiahaawlgaa nnaWea riaBzyaimacea a khnwBr bukaaoaaaznuuar a mcatm. aOh lalkiiiipn m nawWai a kbakaaW uaiwZm yayaahbajankuima zielmtliinaieb sngbealhoaaaeri TDMMkvhaaayoknattWainuzhak gaaahtao naen anzv ilbaaaekdyan nu.oarmcmiti h ohnnwbike aocaswah h mmimaSinm hbeaiJa jieieiwklmhtniu oaiembl kaoaow be a zayzanlloaaaaii w‘wmJwkkmiuumaaoaadwmljbkbhaiaoeco iatmknhsl eiolaeolluaies smt y kavhaDa eiwjai ozaamo naka n.ai gpkngwnoiaaeitza Sme mkihkn iawowoedmnjjaoaaadho kuek cwwlnnihelaaaaaae’ uchumi wa baharini. Waliounga mkono haja Polisi wapewa ‘bangi’ kuchukia Waislamu Tibaijuka anasema kuwa ya Alhaj Shamhuna ambaye inayoomba kuongezwa ni Waziri wa Maji, Nishati, eneo ni Tanzania (Zanzibar Ardhi na Makaazi wa Serikali Inatoka Uk. 1 mkubwa kati ya polisi kwa mabomu watoto wa ikiwemo) kwa hiyo hapakuwa ya Zanzibar , kujiuzulu, polisi ‘wamekuwa na Waislamu nchini Kikristo! na sababu kwa Mwakilishi ni pamoja na Mbunge wa wakivutishwa bangi’ la Marekani. Filamu hii ya dakika 72 kiwnuaaAl yMaolmaojim nMegiskkeazeow.nmgaw anie, y Iasmm Taainiplz Jaaunskisaaa, BpKaiuakBt aeik urAuil tisMuwhmaaak ainakmmaia beR an.a yaiesf a,a sBmi ie mAwbsaahhlaii kliuli‘lwBopaacenhwguaik ’j iianh aWi llaoa i “skTlahisme iTruha.inrdi mmkaUagfnaudipdai i ha(unwoasa henmuaooand ykaeuiswwhaaa iTzlaaiytioudp”i e y(wTaah keji unTajeh lnair g“daJ i Jhciahhdau dyk)ai, sio Tanzania Bara, kwa hiyo mbali za uongozi serikalini, Jihad,” linapewa maofisa kuwa Waislamu) baina ya Waislamu na Zanzibar kulalamika ni sawa alisema licha ya kwamba wa ngazi za juu wa polisi wakiwapiga risasi Wakristo Wakristo, hapana shaka na kugombania fito wakati mheshimiwa Shamhuna ni lengo likiwa kuwajenga kichwani, kisha yanalipuka imelenga zaidi kuwafanya nyumba inayojengwa ni moja mwenzake kutoka CCM, kisaikolojia na mtizamo mabomu na kulipua polisi na maofisa wa (ya Bara na Zanzibar). lakini kwa hili alilolitenda wawaone Waislamu magari, zinaonekana maiti usalama wawe katili kwa Hata hivyo, ufafanuzi dhidi ya nchi ya Zanzibar, kuwa ni mazimwi hatari za watoto waliouliwa na Waislamu. huo umezidi kuwakoroga hapana budi ajiuzulu kwa katika jamii na kwamba mabomu hayo zikiwa Filamu hiyo “Jihad ya Wmkijiupaaweazlnaeanuz zeoTi byialaain rkkzie ia wlyenaa iankamai dtbihanaiib cakihttuoiasw khnaaai mwkuaatUnselgakaenhuacim hsyiikab iwiuo mayulaimllhieaaz ym.iazlaiiysmoiskahu awnnaaa kbstiualaph iakkmui wybaaaoon.nae an ahou rkuimkaat inlii zmimkUaenkfudinas iuokwnnaago mnaea sshhmau bkpaiec.hlae Tniiaatw tkuau”yf oai dlCihyliaolirwtieoann gnFeau ntneadaz,sw insaii cha Zanzibar sasa ionekane yakisikika ambapo wajumbe Kwa mujibu wa taarifa ya benderea ya Kiislamu ya pili kutengenezwa na iliyofanyiwa usanii taasisi hiyo baada ya ile kuwa ni cha Tanzania. waliweza kufafanua kila zilizonukuliwa na vyombo Katika hali hiyo, Zanzibar ambacho walibaini kutoka vya habari vya Marekani, ikipepea katika Ikulu ya ya awali iliyopewa jina itakuwa haina nguvu tena ofisi ya Mheshimiwa Marekani. la “Obsession: Radical zaidi ya maofisa 1500 wa ya kudai haki ya kumiliki Shamhuna, pamoja na “This is the true agenda Islam’s War Against the polisi washavutishwa bangi rasilimali zilizo katika bahari shinikizo la kutaka ajiuzulu. of much of Islam in America. West.” ambapo huoneshwa kuu ambazo awali zikijulikana Yalikuwa ni maji shingoni hilo ambalo limekuwa A strategy to infiltrate and Waislamu kuwa ni hatari kuwa zipo Zanzibar. kama mtaala maalum kwa Marekani. kwa Bw. Shamhuna pale dominate America. ... This Kubwa linalotajwa ni lile la Mjumbe wa Baraza la wa kuandaa vikosi vya is the war you don’t know Taarifa zinaonyesha mafuta ambayo inasemekana Wawakilishi wa Mji Mkongwe, kuhujumu Waislamu. kuwa pamoja na kuwa about.” yamegundulika kuwepo mheshimiwa Ismail Jussa “Ominous music plays na wajumbe katika Bodi Baada ya kuonyeshwa katika baadhi ya maeneo ya Ladhu alipowasilisha hoja juu as images appear on the yake ambayo ni maofisa visiwani. ya hatua ya Waziri Shamhuna screen: Muslim terrorists picha hiyo, msimuliaji wastaafu wa CIA, Clarion Wajumbe kutoka pande kuisaliti nchi na kusaidia shoot Christians in the head, anasema, “hii ndiyo Fund ina uhusiano wa zote za Baraza, Chama cha juhudi za kuidhoofisha car bombs explode, executed agenda ya Waislamu karibu na taasisi nyingine Mapinduzi CCM na Chama Zanzibar kihaiba na kiuchumi Marekani. Mkakati wa ya Aish HaTorah, zote cha Wananchi CUF, pamoja kupitia mipaka na raslimali children lie covered by sheets kujipenyeza na kuitawala zikiwa na uhusiano na na wa pembezoni ‘back- yake ya baharini. and a doctored photograph Amerika…hii ndiyo vita Mayahudi wenye siasa benchers’ wamemchachafya “ T u m e m u o n a shows an Islamic flag flying mjumbe huyo wa Jimbo Mheshimiwa leo ameingia over the White House.” usiyoijua.” kali na wenye ushawishi la Donge, Alhaj Ali Juma baridi kabisa haya mambo si Anaeleza mwandishi Pengine unaweza mkubwa katika siasa za Shamhuna, wakisema ni mchezo bwana”, walisikika kujiuliza nini lengo la Marekani. Michael Powell (January lazima ajiuzulu kwa kuhini baadhi ya wajumbe wa Baraza kuwaonesha maofisa wa Utaratibu huo wa 24, 2012 “NY Times”) amana ya uongozi aliopewa. hilo wakitoa maneno ya utani polisi filamu hii ya kubuni kuwavutisha bangi polisi akionesha yaliyomo Wajumbe hao walimtaka juu ya mjadala wa kikao ikiwaonyesha Waislamu kuwachukia na kuwashukia Alhaj Shamhuna, mbele ya hicho ulioonekana kuwa kwenye mtaala huo ambao wakichinja na kuwalipua Kikao cha Baraza, ajiuzulu moto wa kuotea mbali. umezusha mtafaruku Inaendelea Uk.6 HABARI ZA KIMATAIFA RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 AN-NUUR 5 Walibya waandamana kutaka Shariah itawale TRIPOL Kiislamu Libya wanasema Mamia ya wananchi wa wameamua kuandamana Libya wameandamana baada ya kubainika kuwa wakiwataka viongozi vyama vya Kisekula wa nchi hiyo kutekeleza vinavyoungwa mkono na sheria za Kiislamu. Wamagharibi vimeundwa M a a n d a m a n o nchini humo. yamefanyika katika mji Itakumbukwa kuwa mkuu Tripoli na miji ya Waziri Mkuu wa Muda wa mashariki mwa nchi hiyo Libya Abdel Rahim al-Kib, ya Benghazi na Sabha. alipoingia madarakani Wakiwa wameinua mwezi Novemba mwaka juu Qur’ani Tukufu, jana alisema serikali mpya waandamamaji wametoa ya Libya itazingatia sheria kauli za kuitaka serikali za Kiislamu. ya mpito nchini humo Hali inaonyesha kutegemea sheria za kwamba ushindi wa Kiislamu wakati wa wanaharakati wa Kiislamu kuandika katiba mpya. katika chaguzi za Misri, Aidha wametaka Tunisia na Morocco kuwepo kipengele katika umedhihirisha wazi kuwa katiba kinachotambua wimbi la mwamko wa Uislamu kama dini rasmi Kiislamu katika Mashariki ya serikali. ya Kati na Kaskazini mwa JESHI la Marekani likkingia nchini Libya hivi karibuni Wanaharakati wa Afrika haliwezi kuzuilika Rais Saleh aikimbia Yemen Rushdie afuta safari ya India Yuko Oman njiani kuelekea Marekani CAIRO MURTADI Salman Rushdie amefuta safari SANA’A Ali Abdallah Saleh, yake ya India kutokana na VIONGOZI wa Yemen aliondoka Yemen Jumapili maandamano makubwa wametangaza kuwa, Rais wakati maandamano ya ya Waislamu wa India wa Yemen, Ali Abdallah kupinga kupewa kinga ya wanaopinga safari hiyo Saleh ameondoka na kuogopa uwezekano katika uwanja wa ndege kutoshitakiwa yeye pamoja wa Waislamu wa India wa San’aa akielekea na viongozi wenzake kutekeleza fatwa ya Marekani. yakishika kasi. kumuuwa. Baadhi ya duru za Yemen Maelefu ya wananchi M a a n d a m a n o zimetangaza kwamba, wa Yemen waliandamana yaliyofanywa kwa siku dikiteta Ali Abdallah Saleh mwishoni mwa wiki kadhaa na Waislamu wa atakuwa nchini Oman katika miji mbalimbali India dhidi ya mwandishi kwa siku kadhaa kabla ya huyo wa kitabu cha nchini humo wakitaka kuelekea Marekani. ‘Aya za Kishetani’, Taarifa zaidi zinadai kunyongwa Rais huyo. yamemlazimisha murtadi kwamba, dikiteta huyo Wa n a n c h i h a o huyo kufuta safari ya MURTADI Salman anakwenda Marekani walisikika wakipiga kauli kuzuru nchi hiyo. Rushdie kwa ajili ya matibabu na mbiu za kutoa wito wa Makundi mbalimbali kwamba, atarejea Yemen alitazamiwa kuhutubia baada ya kumaliza kunyongwa Ali Abdallah ya Kiislamu ya India katika siku ya ufunguzi wa matibabu kwa ajili ya Rais Ali Abdallah Saleh waliyemtaja kuwa y a m e w a s h u k u r u Tamasha ya Fasihi Jaitapur kukiongoza chama chake. Saleh ni muuaji. Waislamu kwa kufanikisha mjini New Delhi lakini suala la kuzuia safari ya amelazimika kufuta safari murtadi Rushdie nchini ya kwenda India kushiriki Thailand yaitambua Palestina humo na kusema kuwa, katika tamasha hiyo kufutwa safari yake kutokana na malalamiko huko India ni ushindi ya makundi mbalimbali ya mkubwa. Waislamu nchini humo na IQNA imeitambua rasmi nchi ya imekuwa nchi ya 131 Salman Rushdie kuhofia kifo. THAILAND imekuwa Palestina kwa mujibu wa kuitambua rasmi nchi huru mwenye umri wa miaka Nchi nyingi duniani taifa la kwanza kuitambua mipaka ya mwaka 1967. ya Palestina kwa mujibu wa 65 alizaliwa katika mji wa ikiwemo India zimepiga rasmi nchi huru ya Waziri wa Mambo ya mipaka ya mwaka 1967. Mumbai nchini India na marufuku kitabu cha Palestina mwaka huu wa Nje wa Mamlaka ya Ndani Oktoba mwaka 2011, mwaka 1988 alichapisha ‘Aya za Shetani’. Mwasisi 2012. ya Palestina ameipongeza Shirika la Elimu, Sayansi kitabu cha Aya za Shetani wa Jamhuri ya Kiislamu Ujumbe wa Palestina Thailand kwa hatua hiyo na Utamaduni la Umoja kunachomdhalilisha ya Iran hayati Imam katika Umoja wa Mataifa aliyoitaja kuwa ni ya kutia wa Mataifa UNESCO, na kumvunjia heshima Khomeini, alitoa fatwa umesema umepokea moyo na yenye nafasi ya Mtume Muhammad (saw) akiwaamuru Waislamu liliipatia Palestina barua kutoka kwa serikali kipekee katika medani ya na Qur’an, suala ambalo kote duniani kutekeleza uanachama kamili. Hata ya Thailand inayosema kidiplomasia Palestina. liliwakasirisha Waislamu hukumu ya kifo dhidi ya hivyo Marekani na Israel kuwa, nchi hiyo ya kusini Riyad al Maliki, kote duniani. Salman Rushdie popote zilipinga hatua hiyo. mashariki mwa bara Asia ameongeza kuwa Thailand Murtadi Rushdie pale atakapokuwa. 6 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 Habari/Tangazo Wasomi wa Kiislamu wazindua Kitabu Unguja hoja za wale wasioamini Na Mwandishi wetu, Katika uzinduzi huo Alisema, suala la Abdalla, alisema hima juu ya hali za kifo na Zanzibar walihudhuria pia viongozi kuandika vitabu vya Dini katika ibada duniani maisha ya Akhera baada mbalimbali wa Taasisi ya Kiislamu ni muhimu ni jambo muhimu ili ya kufa. WASOMI, wanataaluma, za Kiislamu, serikali, za sana ingawa linahitaji kumuandaa mja na maisha Dokta Hikmany na masheikh mbali mbali Kijamii, ambapo mgeni juhudi ya makusudi hivyo ya Akhera. ambaye ni miongoni mwa walijumuika katika hafla rasmi alikuwa Naibu ni vyema kwa wasomi Alisema wenye kufaulu wanataaluma mashuhuri maalumu ya uzinduzi wa Mu�i Mkuu wa Zanzibar, kuongoza harakati hiyo ni wale ambao wanatumia nchini katika fani mbali Kitabu cha Kuyakumbuka Sheikh Mahmoud Mussa ya kheri. hali na mali katika kile za elimu, na ambaye Mauti. Wadi. Akitoa ufafanuzi wa alichowajaalia Allah (SW) ili amehudumu katika Taasisi Hafla hiyo ilifanyika Sheikh Mahmoud aya mbali mbali za Qur-an kuieneza Dini ya Kiislamu na hatimaye kujitolea kwa na Mamlaka mbali mbali mwanzoni mwa wiki aliwahimiza Waislamu Tukufu za Suurat Zumar, ajili ya maisha ya kudumu za Elimu, Uchumi, Dini, katika Ukumbi wa Shule kushikamana na kupaza Katibu Mtendaji wa Akhera. na Maendeleo, ndani na ya Sekondari ya Alfalah, sauti ili kuhamasisha Kamisheni ya Waqfu na Akitoa wasifu wa nje ya nchi, amejumuika maeneo ya Mombasa , maarifa sahihi ya Dini ya Mali ya Amana Zanzibar, Mtunzi wa Kitabu hicho, pia kuandaa Miswada Zanzibar . Kiislamu. Sheikh Abdalla Talib Muhadhiri wa Chuo Kikuu mbali mbali ya Vitabu, kikiwamo cha Mirathi, cha Taifa cha Zanzibar, Polisi wapewa ‘bangi’ kuchukia Waislamu Haki na Wito kwa SUZA, Dokta Issa Haji Majirani, vilivyotolewa Zidy, alisema kifo ni jambo na Mwanachuoni Sheikh la kukumbuka na hakuna Habib Ali Kombo, ambaye atakayeweza kukiepuka, la Inatoka Uk. 4 wana usalama wetu. hiyo ilikuwa ya kuzua. msingi ni kujiandaa vyema ni Kadhi Mkuu Mstaafu Ukichukua uzoefu wa ile Hata hivyo, jambo la wa Zanzibar. kwa hasira na ukatili Patriot Act ambapo serikali kushtua ni kuwa hakuna ili kuweza kukabiliana K i t a b u c h a Waislamu, unakuja wakati yetu ilishinikizwa mpaka hatua zozote zilizochukuliwa nacho katika hali njema. Kuyakumbuka Mauti, hivi sasa serikali ya Marekani nayo ikaweka “Patriot Act” na vyombo vya dola juu ya Alisema katika kujali Kilichochapishwa na imesambaza makachero yake, kuna kila sababu ya uzushi huo. hayo, ndiyo miongoni katika misikiti na taasisi za kuwa na wasiwasi kuwa Badala yake gazeti hili mwa mambo yaliyopelekea Chuo Kikuu cha Elimu Kiislamu kuifanya hujuma mkakati huu wa kuhujumu lilipoandika kuonyesha Mtunzi wa Kitabu hicho, Chukwani, Zanzibar, na kuweka mitego ya Waislamu utafika CCP na hatari ya habari kama hiyo Mwanachuoni Dokta kimesambazwa na Umoja kuwakamatisha na unaoitwa Kurasini. katika nchi, ndio likaitwa Hamed Rashid Hikmany, wa Kiislamu wa Elimu, ugaidi. Au hata kama haukuja kukemewa na kuonywa na kuutanabahisha umma juu Uchumi, na Maendeleo, Habari za kipolisi huku, lakini tunafahamu Msajili wa Magazeti. ya safari hiyo adhimu. UKUEM, na pia kupitiwa zinaonyesha kuwa maofisa kwamba kila uchao maofisa Unachoweza kuona ni Katika kitabu hicho, na Wanachuoni Mashuhuri wote wanaokwenda kozi za wetu wa vyombo ya dola kuwa iwapo polisi wetu Mtunzi Dokta Hikmany akiwamo Katibu Mkuu muda mfupi huonyeshwa wamekuwa wakipaa watapewa ‘dozi’ hiyo ya “The ametumia falsafa filamu hiyo ikiwa ni sehemu kwenda Marekani (School of Third Jihad,”, hawatasubiri kubwa ya kujiandaa na Mstaafu wa Kamisheni ya ya muhutasari wa mafunzo. Americans?) kunolewa. tena kuchochewa na kuyakumbuka mauti, Wakfu na Mali ya Amana, waKnaataikmab miwafau nwzaos himaywoa pmoliinsii piaL kawkianmi bpai ak wtuan kaifsainhgaimziuo MsemaKweli. pamoja na changamoto za AZabndzuilbhaarm, Sidh.eikh Khamis Wakati wakuu wa White Muislamu yeyote kwa sababu cha kushirikiana katika suala House wakiweka ‘mtaala’ hata wale wanaojifanya siasa la kupambana na ugaidi, poa (hapa kwetu tunaweza yamekuwa yakifanyika wa kuwatia polisi wao chuki LUQMAN ISLAMIC SEMINARY kusema akina Al Had na mazoezi ya pamoja kati ya dhidi ya Waislamu kwa Bakwata), si watu wema. wanajeshi wetu na wale wa kuwapaka matope kuwa Wanajificha tu lakini magaidi Marekani. ni magaidi, mwandishi INAWATANGAZIA WAISLAMU WOTE hatari. Hatujui ni kwa kiwango wa historia wa Marekani Polisi hao wanaambiwa gani mitaala hii ya “Dark William Blum amechapisha KUWA NAFASI ZA MASOMO BADO ZIPO kwamba Jihad ya kwanza Film on Muslims” imekuwa ilikuwa wakati wa Mutume ikitumika. “muhtasari ulioboreshwa KATIKA SHULE ZETU ZA: Muhammad (s.aw), kisha Lakini pia tunajua kuwa wa sera za nje za Marekani” ikaja ile ya wakati wa zama kabla hata ngoma haijapigwa, tangu viishe Vita Vikuu vya SEKONDARI (KUJIUNGA FORM ONE) za Kati (mpaka wakati wa ni kwa namna gani vyombo Pili Duniani. Vita ya Msalaba). Na ya tatu vyetu vya usalama vimekuwa Katika muhutasari huo PRIMARY (KUJIUNGA GRADE ONE) ni sasa ambapo Waislamu vikicheza ngoma hii ya kama ulivyonukuliwa na wanataka kuteka Ulya na kuwahujumu Waislamu kwa John Pilger katika makala CHEKECHEA Marekani kupitia ugaidi. kisingizio cha kupambana na yake “The World War on Kwa ujumla uhai wote ugaidi. Democracy”, Marekani USAILI KWA WANAFUNZI UNAFANYIKA wa Uislamu toka Mtume Tunaweza kurejea imejaribu kupindua zaidi Muhammad (s.a.w) kuhamia aliyofanyiwa Sheikh Said Abri ya serikali 50, nyingi KILA JUMAMOSI Madina, umeitwa ni muda wa Iringa, Abu Hudhaifah na wa Vita. kufungwa kwa taasisi ya zikiwa zimechaguliwa PIA WANAOTAKA KUHAMIA NAFASI kidemokrasia. “The 1,400-year war”, Alharamain. Imejaribu kunyamazisha BADO ZIPO kwamba ni vita iliyodumu Mwaka 2005 liliwahi harakati za kizalendo katika kwa miaka 1400 na bado kuandika gazeti la nchi takriban 20. Imeingilia SHULE IPO MASJID NNUUR SINZA Waislamu wanaendelea nayo MsemaKweli habari kwa kiasi kikubwa katika katika mtindo wa kigaidi. iliyodai kuwa Waislamu uchaguzi wa kidemokrasia USAFIRI UPO KWA WANAFUNZI WA Awali habari hizo Tanzania wameingiza silaha katika nchi walau 30. zilipovuja, uongozi wa polisi za kuwaulia Wakristo Imeangusha mabomu juu NURSERY NA PRIMARY. New York (Police Academy) na kwamba silaha hizo ya watu wa nchi zaidi ya 30. ulikanusha kutumia filamu zimefichwa katika Misikiti Imejaribu kuwaua zaidi ya hiyo na kusema kwamba kama igamboni na Morogoro. viongozi 50 wa nchi za nje. kuna maofisa walioitizama, Zaidi ya kujenga chuki KWA MAWASILIANO: 0713-819391 AU Anasema, ni Marekani basi ni kama watu binafsi. miongoni mwa Waislamu iliyounda na kufadhili Al Hata hivyo, baadae walikiri na Wakristo, habari hiyo ni 0713-220567 kwamba huitumia filamu hiyo kana kwamba inavichochea Qaidah kupitia ile Operesheni iliyotengenezwa na Mayahudi vyombo vya dola ni kwa nini Kimbunga ambapo Waislamu siasa kali (Jewish extremists) haviwabamizi Waislamu. wamekuwa ndio waathirika katika kile walichokiita Japo mwandishi wa wakubwa. WABILLAHT TAWFIIQ “terrorism awareness training habari hii aliwahi kuongea Kwamba katika siasa hizo, program”. na mmoja wa viongozi wa adui amekuwa akibadilika Hofu iliyopo ni kuwa WAPO wanaomiliki gazeti jina, kutoka ukomunisti UONGOZI huenda mafunzo kama hayo hilo na kukiri kwamba habari kuwa ugaidi na Uislamu. yakawafikia pia polisi na Makala RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 AN-NUUR 7 Vita ya Dunia kuhusu demokrasiaa Na John Pilger Ulikuwa unawasikia mbwa mbolea: madondosheo ya wa Lise�e, Jollice na Regis, Mauritius alisema hawezi walikufa ndani ya wiki moja kutibu majonzi.” wakilia.” ndege. Hali ya hewa ilikuwa JANUARI 20, 2012 –(Wakala Lisette na familia yake mbaya; kila mtu alikuwa wakifuatana. “Walikufa Kitendo hiki cha kuteka wa Habari, Washington) na mamia ya wakazi wa anaumwa, kwa majonzi,” alisema. nyara halaiki ya watu “Walikuwa wamesikia na kilifanywa kwa siri kubwa. kisiwa hicho walilazimishwa wanawake wawili LISETTE Talate alikufa hivi kupanda meli iliyochoka wakaharibikiwa mimba. kuona mkasa uliowapata Katika jalada moja la kiofisi, karibuni. Namkumbuka kwenda Mauritius, umbali Walivyotupwa katika wale mbwa. Walikuwa chini ya kichwa chwa habari kama mwanamke mwerevu, wa maili 2,500. Walilazimika bandari ya Port Louis, wanajua wanaondoka milele ‘Kusitiri uzushi,’ mshauri mdadisi aliyekuwa kulala juu ya mzigo wa watoto wawili wa mwisho nyumbani. Daktari wa wa kisheria wa Wizara ya ameficha majonzi yake Mambo ya Nje ya Uingereza kwa udhati wake uliokuwa anawahimiza washirika wake ukionekana dhahiri. kufunika vitendo vyao kwa Alikuwa kielelezo cha ‘kubadilisha kutambuliwa’ wananchi wanaopambana kwa watu hao kama ambao dhidi ya wale wanaovunja wapo hati hati na ‘kuunda demokrasia. Nilimwona kanuni mbele ya safari.’ mara ya kwanza kwa mbali Kipengere cha 7 cha kanuni katika sinema ya Idara ya za Mahakama ya Jinai ya Makoloni ya miaka ya 1950 Kimataifa (The Hague) kuhusu wakazi wa visiwa kinasema ‘kuhamishwa au vya Chagos, taifa dogo la kuondolewa kwa nguvu watu wa rangi mchanganyiko kwa wakazi’ ni uhalifu wanaoishi katikati ya Afrika dhidi ya binadamu. Kuwa na Asia, katika Bahari ya Uingereza ilitenda kosa hilo Hindi. Kamera ilionyesha – ili kubadilishana na dola vijiji vyenye uchangamfu milioni 14 za ununuzi wa wa maisha, kanisa, shule, ‘nyambizi’ (submarine) ya kituo cha afya, vikiwa katika nuklia – halikuwa katika mazingira ya uzuri wa asili agenda ya na amani. kundi la waandishi Listte anakumbuka wa habari za ‘ulinzi’ wa mtengenezaji wa filamu Uingereza waliopelekwa hiyo akimwambia yeye na Chagos na Wizara ya Ulinzi marafiki zake, ‘Endelea wakati kituo hicho cha kutabasamu, mabinti!’ Akiwa Marekani kilipokamilika. ameketi jikoni kwake nchini The World War on Democracy “Hakuna chochote katika Mauritius miaka mingi majalada yetu,” alisema ofisa baadaye, alisema “sikuhitaji mmoja wa wizara, “kuhusu kuambiwa nitabasamu. By John Pilger In the early 1960s, the heading, “Maintaining the wakazi au uhamishaji.” Nilikuwa mtoto mwenye Labor government of Harold fiction,” the Foreign Office Leo hii, Diego Garcia furaha, kwa sababu mizizi Wilson secretly agreed to a legal adviser exhorts his ni muhimu sana kwa vita January 20, 2012 “Information yangu ilikuwa imechimbika demand from Washington colleagues to cover their vya Marekani na Uingereza Clearing House” --- katika visiwa hivyo, that the Chagos archipelago, actions by “re-classifying” dhidi ya demokrasia. Upigaji paradiso yangu. Bibi yangu a British colony, be “swept” the population as “floating” mabomu wa nguvu zaidi wa LISETTE Talate died the mzaa bibi alizaliwa pale; and “sanitized” of its 2,500 and to “make up the rules as Irak na Afghanistan ulitokea other day. I remember a nilipata watoto sita pale. inhabitants so that a military we go along.” Article 7 of the katika viwanja vipana vya wiry, fiercely intelligent Ndiyo maana hawakuweza base could be built on the statute of the International ndege, ambako ukivivuka woman who masked her kutuondoa kisheria kututupa principal island, Diego Criminal Court says the maeneo ya makaburi grief with a determination nje ya nyumba zetu; ilibidi Garcia. “They knew we “deportation or forcible ya wenyeji na kanisa that was a presence. She watutishe tuondoke au were inseparable from our transfer of population” is vinaonekana kama mabaki was the embodiment of watutoe kwa nguvu. Kwanza pets,” said Lise�e, “When the a crime against humanity. ya watu wa kale. Bustani people’s resistance to the walijaribu kuleta njaa. Meli American soldiers arrived to That Britain had commi�ed yenye matuta ambako Lise�e war on democracy. I first za kuleta vyakula ziliacha build the base, they backed such a crime — in exchange alicheka akipigwa picha, glimpsed her in a 1950s kufika, halafu wakaanzisha their big trucks against the for a $14 million discount off sasa ni ngome ya kuhifadhi Colonial Office film about uvumi kuwa tutapigwa brick shed where we prepared an American Polaris nuclear mabomu ya kuvunja the Chagos islanders, a mabomu, halafu ndipo the coconuts; hundreds of our submarine — was not on the ngome yanayobebwa na tiny creole nation living wakawageukia mbwa zetu.” dogs had been rounded up agenda of a group of British ndege ‘bundi’ za B-2 dhidi midway between Africa and Katika miaka ya awali ya and imprisoned there. Then “defense” correspondents ya kinacholengwa katika Asia in the Indian Ocean. 1960, serikali ya Uingereza ya they gassed them through flown to the Chagos by the mabara mawili; ushambuliaji The camera panned across Harold Wilson ilikubaliana tubes from the trucks’ Ministry of Defense when wa Iran utaanzia hapa. Kana thriving villages, a church, kwa siri na hitaji la Marekani exhausts. You could hear the US base was completed. kwamba ni kukamilisha a school, a hospital, set in kuwa visiwa vya Chagos, them crying.” “There is nothing in our muhuri wa ubabe, mamlaka a phenomenon of natural koloni la Uingereza, Lisette and her family files,” said a ministry official, jinai ya shirika la ujasusi la ‘kifagiliwe’ na ‘kusafishwa’ beauty and peace. Lisette and hundreds of islanders “about inhabitants or an Marekani (CIA) liliongeza jela kiondolewe wakazi wake remembers the producer were forced on to a rusting evacuation.” ya aina ya Guantanamo kwa 2,500 ili kituo cha kijeshi saying to her and her teenage steamer bound for Mauritius, Today, Diego Garcia is wafungwa wanaohamishiwa kijengwe katika kisiwa kikuu, friends, “Keep smiling a distance of 2,500 miles. They crucial to America’s and kutoka kwingine na hatimaye Diego Garcia. girls!” were made to sleep in the hold Britain’s war on democracy. kupelekwa kwingine kwa “Walikuwa wanajua Sitting in her kitchen in on a cargo of fertilizer: bird The heaviest bombing of mateso, iitwayo ‘Camp hatuwezi kutenganishwa Mauritius many years later, shit. The weather was rough; Iraq and Afghanistan was Justice.’ na wanyama wetu wa she said, “I didn’t have to be everyone was ill; two women launched from its vast Kilichofanywa kwa kufugwa,”alisema Lisette. told to smile. I was a happy miscarried. Dumped on the airstrips, beyond which paradiso ya Lise�e kina maana “Wakati askari wa Marekani child, because my roots docks at Port Louis, Lise�e’s the islanders’ abandoned ya haraka na inayohusu watu walipowasili kujenga kituo were deep in the islands, youngest children, Jollice, cemetery and church stand wote, kwani inawakilisha hicho, waliegesha magari my paradise. My great- and Regis, died within a week like archaeological ruins. The utumiaji nguvu na kutojali yyaa kuijzeisoh i wmaa kmuabtwoaf aklai nwdoa gIT rhmaanatdd’sme wostihhxye r c twhhialesdy br eocnron ut thlhdeenrree’t.; oshafa ddena hcehes sao,r”tdh esahrl. el“ tTshaheie dyt.a dl“kiTe dahn eodyf tlneaoruwrga chaee ddf og raftorrdre estnsh weh ohcuearsmei nLegirs aet �hiees hmwaaski nis guzira wa w ay aamt ufd uaemmmobo makkrzoaim sniaai eneo ambalo tulikuwa legally throw us out of our seen the horror of what had “bunker-busting” bombs ambayo hutangulizwa, na tunatengenezea nazi; own homes; they had to happened to the dogs. They carried by bat-shaped B-2 kiwango cha kujazwa dhana mamia ya mbwa wetu terrify us into leaving or force knew they were leaving their aircraft to targets in two potofu kuona kinachofanyika walikuwa wamekusanywa us out. At first, they tried home forever. The doctor in continents; an attack on kuwa ni chema tu kwa na kufungiwa hapo. Halafu to starve us. The food ships Mauritius said he could not Iran will start here. As if binadamu wote, ambako wakawaua kwa gesi kwa stopped arriving [then] they treat sadness.” to complete the emblem of Harold Pinter alisema ni mipira iliyounganishwa spread rumors we would be This act of mass kidnapping rampant, criminal power, the “kitendo cha kulalisha katika bomba za kutolea bombed, then they turned on was carried out in high secrecy. moshi za magari hayo. our dogs.” In one official file, under the Cont. Pg. 8 Inaendelea Uk. 8 8 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 Makala Inatoka Uk. 7 Vita ya Dunia kuhusu demokrasiaa moja ya watu wa Timor ya Mashariki waliouawa kwa usingizi kilichofanywa njaa au risasi huku nchi za kwa ustadi mkubwa, hata magharibi zikiangalia, kwa kwa kufurahisha.” Ikiwa kutumia ndege za kivita za ndefu zaidi na yenye kuleta Wakati hulka za kitamaduni wa Uingereza na Marekani (Margreth) Thatcher, zaidi ya Uingereza, na bunduki za madhara makubwa zaidi za Uingereza na Marekani katika maeneo yenye watu nusu milioni waliuawa risasi za kumimina. kuliko vita yoyote tangu zinafunika Vita Vikuu vya raslimali nyingi yanatupwa (1967). Ikiwa imeitwa na Habari hizi za kweli 1945, Pili duniani katika bwalo la yasahaulike. CIA ‘mauaji makubwa zaidi zinaonekana katika vikipiganwa kwa silaha kuongelea la kimaadili kwa Chini ya Suharto, dikteta katika sehemu ya pili ya majalada ya Public Records za kishetani na uharamia washindi, mauaji ya halaiki wa Indonesia aliyetiwa karne ya 20,’ makisio hayo Office (baada ya muda wa unaojificha kama sera za yanayotokana na ukiritimba mafuta kuitwa ‘mtu wetu’ na hayajumuishi theluthi kuzuiliwa kupita), na hata uchumi ambazo mara hivyo zinawakilisha upande nyingine huitwa utandawazi, mmoja wa siasa na kutumia vita dhidi ya demokrasia mamlaka ambako ni nje ya haitajwi miongoni mwa kuhusishwa wananchi. Hii wasomi na watendaji nchi imefanikiwa katika mfumo za magharibi. Kama Pinter wa usimamizi wa habari usio alivyoandika, “haikuwahi wa kulazimisha, ukitawaliwa kutokea hata ilipokuwa na liturgia ya matangazo ya inatokea.” kuteka walaji na uangalifu Julai mwaka jana, kuhusu nukta zinazotumiwa mwandishi wa historia wa katika habari za BBC, na Marekani William Blum sasa katika ulimwengu alichapisha “muhtasari maridhawa ya mawasiliano ulioboreshwa wa sera za nje ya kompyuta. za Marekani.” Tangu viishe Ni kama vile waandishi Vita Vikuu vya Pili Duniani, k a m a wa a n g a l i z i Marekani: wameshapotea duniani, au 1. Imejaribu kupindua wako katika mduwaza wa ari zaidi ya serikali 50, nyingi ya kizazi-usomi cha kupuuza zikiwa zimechaguliwa kabisa jamii, wakiamini kidemokrasia. kuwa ni wajanja mno 2. Imejaribu kunyamazisha hawawezi kudanganywa. harakati za kizalendo katika Angalia kupigana vikumbo nchi takriban 20. kwa watafuta mshiko 3. Imeingilia kwa kiasi wanaojitahidi kukabiliana na kikubwa katika uchaguzi (hayati) Christopher Hitchens, wa kidemokrasia katika nchi The World War on Democracy mpenda vita aliyetaka sana walau 30. kuruhusiwa kuhalalisha 4. Imeangusha mabomu uhalifu wa taifa kubwa lenye juu ya watu wa nchi zaidi From Pg 7 In total, the United States does not include a third of the tamaa. “Kwa mara ya kwanza ya 30. has carried out one or more of population of East Timor who katika karne mbili,” aliandika CIA added a Guantánamo- 5. Imejaribu kuwaua these actions in 69 countries. were starved or murdered Terry Eagleton, “hakuna style prison for its “rendition” zaidi ya viongozi 50 wa nchi In almost all cases, Britain with western connivance, mwandishi wa mashairi, victims and called it Camp za nje. has been a collaborator. The British fighter-bombers, and maigizo au riwaya aliye tayari Justice. Kwa jumla, Marekani “enemy” changes in name – machine guns. kuhoji mfumo wa maisha wa What was done to Lise�e’s imefanya kitendo kimoja from communism to Islamism These true stories are told nchi za magharibi.” Hakuna paradise has an urgent and au viwili kati ya vitendo — but mostly it is the rise of in declassified files in the (George) Orwell (1984 na universal meaning, for it hivyo katika nchi 69, na democracy independent of Public Record Office, yet Animal Farm, mzaha wa represents the violent, ruthless katika vitendo karibu vyote, western power or a society represent an entire dimension udikteta wa Ujamaa) kuonya nature of a whole system Uingereza imekuwa mshirika occupying strategically useful of politics and the exercise of kuwa hatuhitaji kuishi katika behind its democratic façade, wake. “Adui” anabadilika territory, deemed expendable, power excluded from public nchi ya kidikteta kuharibiwa and the scale of our own jina, kutoka ukomunisti like the Chagos Islands. consideration. This has been na udikiteta wenyewe. indoctrination to its messianic kuwa The sheer scale of suffering, achieved by a regime of un- Hakuna Shelley assumptions, described by Uislamu – lakini zaidi ni let alone criminality, is li�le coercive information control, anayewasemea maskini, Harold Pinter as a “brilliant, kuzuka kwa demokrasia known in the west, despite the from the evangelical mantra hakuna (William) Blake even wi�y, highly successful isiyoambatana na mataifa presence of the world’s most of consumer advertising to anayetoa taseira, hakuna act of hypnosis.” Longer and ya magharibi au jamii advanced communications, sound-bites on BBC news and (Oscar) Wilde kutukumbusha bloodier than any war since inayoshikilia eneo ambalo nominally freest journalism, now the ephemera of social kuwa “kutotii, katika macho 1945, waged with demonic linafaa kwa mikakati ya and most admired academy. media. ya yeyote aliyesoma historia, weapons and a gangsterism kijeshi, ambayo inaweza That the most numerous It is as if writers as ndiyo tunu ya awali ya dressed as economic policy kuondolewa, kama visiwa victims of terrorism – western watchdogs are extinct, or binadamu.” Na and sometimes known as vya terrorism – are Muslims is in thrall to a sociopathic mbaya zaidi hakuna Pinter globalization, the war on Chagos. unsayable, if it is known. That zeitgeist, convinced they wa kughadhibika kuhusu democracy is unmentionable Kiwango cha kushangaza in western elite circles. As half a million Iraqi infants are too clever to be duped. mfumo-vita, kama katika cha mateso kinafahamika Pinter wrote, “it never died in the 1990s as a result Witness the stampede of ‘American Football:’ kidogo sana katika nchi happened even while it of the embargo imposed by sycophants eager to deify Hallelujah. za magharibi, pamoja na was happening.” Last July, Britain and America is of Christopher Hitchens, a Tumsifu Bwana kwa kuwepo kwa njia bora zaidi American historian William no interest. That extreme war lover who longed to mambo yote mazuri…. za mawasiliano, vyombo Blum published his “updated jihadism, which led to 9/11, be allowed to justify the Tulilipua mipira yao kuwa vya habari vilivyo huru summary of the record of was nurtured as a weapon of crimes of rapacious power. vipande vya vumbi kimsingi kuliko vyote, na US foreign policy.” Since western policy (“Operation “For almost the first time in Vipande vya vumbi uwepo wa kiwango kikubwa the Second World War, the Cyclone”) is known to two centuries,” wrote Terry habithi… cha usomi. Kuwa waathirika US has: specialists but otherwise Eagleton, “there is no eminent Kuwa vipande vya vumbi wengi zaidi wa ugaidi – 1. Attempted to suppressed. British poet, playwright, or habithi ndiyo yalikokwenda wa nchi za magharibi – ni overthrow more than 50 While popular culture in novelist prepared to question maisha yote yaliyolipuliwa Waislamu haisemeki, kama governments, most of them Britain and America immerses the foundations of the western huko na Barack Obama, mdau inafahamika. Kuwa watoto democratically-elected. the Second World War in an way of life.” No Orwell warns wa ‘tumaini-mabadiliko’ wa wachanga nusu milioni wa 2. Attempted to ethical bath for the victors, that we do not need to live udhalimu wa magharibi. Irak walikufa katika miaka suppress a populist or the holocausts arising from in a totalitarian society to be Wakati wowote moja ya ya 1990 kutokana na vikwazo national movement in 20 Anglo-American dominance corrupted by totalitarianism. madege yasiyo na rubani vilivyowekwa na Uingereza countries. of resource-rich regions No Shelley speaks for the ya Obama yanapofyeka na Marekani si jambo la 3. Grossly interfered are consigned to oblivion. poor, no Blake proffers a familia nzima katika eneo maana kwao. Kuwa u-jihad in democratic elections in at Under the Indonesian tyrant vision, no Wilde reminds la mbali la kikabila la wa kupindukia uliopelekea least 30 countries. Suharto, anointed “our us that “disobedience, in Pakistan, au Somalia, au Septemba 11 (2001) ulijengwa 4. Dropped bombs on man” by Thatcher, more the eyes of anyone who has Yemen, waongozaji ndege kama silaha ya mikakati the people of more than 30 than a million people were read history, is man’s original wakiwa mbele ya screen zao ya nchi za magharibi countries. slaughtered. Described by virtue.” And grievously za michezo ya kompyuta (Operesheni Kimbunga) 5. Attempted to the CIA as “the worst mass no Pinter rages at the war wanagonga ‘Bugsplat.’ inafahamika kwa wataalamu assassinate more than 50 murder of the second half of Obama anapenda madege lakini imenyamazishwa. foreign leaders. the 20th century,” the estimate Cont. Pg. 9 Inaendelea Uk. 9 Makala RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 AN-NUUR 9 Inatoka Uk. 9 “utashindanisha falsafa Vita ya Dunia kuhusu demokrasiaa zinazotofautiana kimsingi yasiyo na rubani na amekuwa kuhusu uchumi.” Hii siyo akifanya mizaha na waandishi kweli kabisa. Kazi ambayo wa habari kuhusu madege imepangiwa waandishi wa hayo. Moja ya hatua zake za Wanahitaji tu ‘kuwahusisha’ lakini pia litapigana ndani ni vijana wasio na kazi, habari pande zote mbili za kwanza kama rais ilikuwa na ‘wanaopambana’ na ya nchi na ‘kutoa msaada watu wasio na makazi, Atlantiki ni kuunda dhana ni kutoa amri ya kutumia Marekani. Hapatakuwa na kwa mamlaka za kiraia.’ Kwa Wamarekani Weusi walioko ya kuwepo kwa uhuru wa madege ya Predator (mnyama ulinzi wa kisheria, kujibu maneno mengine, askari wa magerezani, waliosalitiwa kuchagua kisisa wakati mwindaji) yasiyo na rubani mashitaka, uwakili. Hii ndiyo Marekani watasambazwa na rais wa kwanza mweusi ambapo haupo. kushambulia Pakistan, sheria ya kwanza ya wazi katika barabara za miji yake nchini humo. Kivuli hicho pia ambako yaliua watu 74. ya kufuta ‘habeas corpus’ pale machafuko ya ndani Taswira ya kihistoria kinaonekana Uingereza na Kuanzia hapo ameua maelfu, (hali ya kushitakiwa kwa yasiyozuilika yakianza. ya mwelekeo wa kudumu sehemu kubwa ya Ulaya zaidi ni raia wa kawaida; mwenendo wa kawaida wa Marekani sasa ni nchi ya wa vita, huu siyo ufashisti, ambako demokrasia ya madege hayo yanatoa sheria) na hivyo inatengua umaskini uliokithiri na jela bado, lakini hata hivyo kijamii, kipengere muhimu makombora ya Hellfire Rasimu ya Haki za Raia ya za kutisha: matokeo ya u- siyo demokrasia katika hali cha imani vizazi viwili (moto wa Jehanam) ambayo mwaka 1789. soko huria wa kupindukia yoyote inayotambulika, licha vilivyopita, imeanguka yakilipuka yananyoya hewa Hapo Januari 5, katika ambako chini ya Obama ya nafasi ambayo siasa za mikononi mwa madikteta kutoka mapafu ya watoto hotuba isiyo ya kawaida imewezesha kupelekwa kwa kupangwa zitakavyokula wa benki kuu. Katika ‘jamii wadodo na kuacha sehemu makao makuu ya Jeshi, dola 14 triliioni fedha za muda wa habari hadi kubwa’ ya David Cameron, za mwili zimetwanyika katika Obama alisema jeshi walipa kodi kwa makampuni Novemba. Kampeni za wizi wa pauni bilioni 84 za ardhi kame. halitakuwa tu tayari kulinda jangili ya soko la hisa (Wall urais, linasema gazeti la kila kazi na huduma unazidi kiasi Kumbuka vichwa vya eneo na wakazi nchi za nje Street). Waathirika zaidi siku la Washington Post, cha fedha za kodi kilichoacha habari vilivyowatoa watu ‘kihalali’ bila kulipwa na machozi wakati Bidhaa makampuni haramia. Kosa Obama ilipochaguliwa: ‘tukio haliko upande wa uhafidhina muhimu, linainua ashki uti wa wa kupindukia, lakini mgogo,’ kwa mujibu wa The utamaduni wa kiliberali Guardia (ya Uingereza). “Hali (sera holela) wa kisiasa ya baadaye ya Marekani,” ambao umeruhusu hali hii aliandika Simon Schama, “ni kutokea ambayo, aliandika taswira, mwanga, bila umbo, Hywel Williams baada rahisi kubeba kichwani.” ya mashambulizi ya 9/11, Mwanasafu katika jarida kuwa ‘yenyewe inaweza la San Francisco Chronicle kuwa aina ya siasa kali aliona ‘mwelekezaji wa inayojihalalisha.’ kiroho anayeweza kuleta njia Tony Blair ni mtu wa mpya ya kuishi katika sayari siasa kali hiyo. Katika hii.’ Nje ya upuuzi huo, kama utawala uchumi usiojali mtoa tahadhari makini Daniel uhuru inaodai kuwa ni Ellsberg alivyokwisha tabiri, muhimu kwake, utawala wa mapinduzi ya kijeshi yalikuwa kibwanywenye aliousimamia yanatokea Washington, na Blair umeunda dola pelelezi Obama ndiye mtu wao. yenye makosa 3,000 mapya Baada ya kuibembeleza ya jinai na sheria zake: zaidi harakati ya kupinga vita ya zilizotungwa katika karne karibu kunyamaza kabisa, yote iliyopita. Polisi ni wazi amelipatia tabaka fisadi la wanaamini wanaweza kuua wakuu wa majeshi Marekani bila kuzongwa na sheria. mamlaka yasiyo ya kawaida Kwa matakwa ya CIA, ya kupanga na kuendesha The World War on Democracy matukio kama lile la Binyam Mohamed, mkazi vita. Hii ni pamoja na wa Uingereza asiye na mipango ya vita Afrika kosa aliyeteswa halafu na nafasi za kuichokoza From Pg 8 spine-tingling”: the Guardian. its annual pocket money of akafungiwa miaka mitano China, mkopeshaji mkuu machine, as in American “The American future,” wrote $3bn together with Obama’s jela ya Guantanamo, wa Marekani na ‘adui’ mpya Football: Simon Schama, “is all vision, permission to steal more atashughulikuwa katika barani Asia. numinous, unformed, light- Palestinian land. mahakama za siri Uingereza Hallelujah. Chini ya Obama mlengwa headed …” The San Francisco Obama’s most “historic” “ili kulinda taasisi za kijasusi” Praise the Lord for all good wa zamani wa utaka-vita Chronicle‘s columnist saw achievement is to bring the – watesaji wake. things … nchini Marekani, Russia a spiritual “lightworker war on democracy home to Serikali hii isiyoonekana amezungukwa na makombora We blew their balls into [who can] usher in a new America. On New Year’s Eve, imewezesha utawala wa ya masafa marefu na upinzani shards of dust, way of being on the planet.” he signed the 2012 National Blair kupigana na wakazi Into shards of fucking wa visiwa vya Chagos Beyond the drivel, as the Defense Authorization Act nchini Russia kupenywa. dust … walipoinuka katika kukata great whistleblower Daniel (NDAA), a law that grants Timu za mauaji za kijeshi Into shards of fucking tamaa uhamishoni na kutaka Ellsberg had predicted, a the Pentagon the legal right na CIA zimeelekezwa cha dust go all the lives blown haki itendeke katika mitaa military coup was taking to kidnap both foreigners and kufanya katika nchi 120; there by Barack Obama, the place in Washington, and US citizens and indefinitely ya Port Louis na London. mashambulio yaliyopangwa “Ni pale tu unapochukua Hopey Changey of western Obama was their man. detain, interrogate and muda mrefu dhidi ya Syria hatua za moja kwa moja, violence. Whenever one of Having seduced the antiwar torture, or even kill them. na Iran zinaashiria vita vya ana kwa ana, hata kuvunja Obama’s drones wipes out movement into virtual silence, They need only “associate” dunia. Israel, mwendeshaji sheria, ndipo unapoweza wa ukandamizaji na uharamia an entire family in a faraway he has given America’s with those “belligerent” to the angalau kuonekana,” alisema wa Marekani kwa uwakala, tribal region of Pakistan, corrupt military officer class United States. There will be Lisette. “Na ulivyo mdogo unprecedented powers of no protection of law, no trial, amepokea hivi karibuni or Somalia, or Yemen, the zaidi, ndiyo mfano wako kwa state and engagement. These no legal representation. This kile kinachoitwa ‘pesa ya American controllers in wengine unakuwa mkubwa include the prospect of wars is the first explicit legislation mfukoni’ dola bilioni 3. front of their computer-game zaidi.” Ni jibu fasaha kabisa in Africa and opportunities to abolish habeas corpus (the Ni pamoja na rukhsa ya screens type in “Bugsplat.” kwa wale ambao bado for provocations against right to due process of law) Obama kuiba ardhi zaidi ya Obama likes drones and wanauliza, “naweza kufanya China, America’s largest and effectively repeal the Bill Wapalestina. Alichokifanya has joked about them with nini?” creditor and new “enemy” of Rights of 1789. cha ‘kihistoria’ Obama journalists. One of his first Niliona kiwiliwili kidogo in Asia. Under Obama, the On 5 January, in an ni kuleta vita dhidi ya actions as president was to cha Lisette kimesimama old source of official paranoia extraordinary speech at the demokrasia nchini Amerika order a wave of Predator katika mvua kubwa pamoja Russia, has been encircled Pentagon, Obama said the kwenyewe. Mkesha wa drone a�acks on Pakistan that na wanaharakati wenzake with ballistic missiles and military would not only be Mwaka Mpya, alitia saini killed 74 people. He has since nje ya malango ya Bunge. the Russian opposition ready to “secure territory and Sheria ya Uratibishaji wa killed thousands, mostly Kilichonishangaza ilikuwa infiltrated. Military and CIA populations” overseas but to Ulinzi wa Taifa ya 2012, civilians; drones fire Hellfire ni ujasiri unaodumu wa assassination teams have been fight in the “homeland” and sheria ambayo inayapa haki missiles that suck the air out mapambano yao. Ni huku assigned to 120 countries; provide “support to the civil ya kisheria makao makuu ya of the lungs of children and kukataa kukata tamaa long planned a�acks on Syria authorities.” In other words, Jeshi la Marekani kukamata leave body parts festooned ambako mamlaka zilizooza and Iran beckon a world US troops will be deployed raia wa kigeni na wa Marekani across scrubland. zinaogopa, zaidi ya yote, war. Israel, the exemplar of on the streets of American na kuwafungia kwa kipindi Remember the tear-stained wakijua ndiyo mbegu iliyo US violence and lawlessness cities when the inevitable chochote, kuwahoji na headlines when Brand Obama chini ya barafu. by proxy, has just received Cont. Pg 12 kuwatesa, na hata kuwaua. was elected: “momentous, (www.johnpilger.com) 10 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA JANUARI 27 - FEB. 2, 2012 MAKALA Vatican yavamia Zanzibar suala la kujenga makanisa. “Story” hii ilikuwa ikisimuliwa sana huko nyuma, lakini mwandishi huyu hakuweza kupata usahihi wake; hasa kutambua kama mkasa huu ulitokea ama ilikuwa ni mazungumzo tu ya waumini wa Kiislamu. Lakini iwe ni kweli au la, hapa tunajifunza kiasi gani waumini wa dini ya Na Khalid S Mtwangi Kiislamu wasivyopendezwa na kuingiliwa na makanisa. Wakati huo ilikuwa KILA Muislamu wa ikifahamika kiasi gani Serekali nchi hii ni lazima awe ya Mapinduzi Zanzibar amefadhaishwa na kichwa ilivyokuwa ikijigamba kuwa cha habari kilichochapishwa ni ya kisekula. Itakumbukwa ukurasa wa kwanza wa kiasi gani wengi wa gazeti hili wiki iliyopita. wanataaluma, wakiwemo Zanzibar kuingiliwa na masheikh wakubwa Kanisa Katoliki kwa kiasi wakubwa, walivyoikimbia hicho ni msiba mkubwa Zanzibar. Kama mkasa huu sana. Huko nyuma kulikuwa ni kweli, inaonyesha kiasi kikielezwa kisa kimoja gani viongozi walikuwa bado kilichomuhusu Al Marhum wakiijali dini wanayoiamini Mzee Abeid Amani Karume kuwa ndiyo ya kweli. akiwa ndiye Rais wa kwanza M s o m a j i ye yo t e wa Zanzibar akiliongoza Baraza la Mapinduzi. anayeweza kuwahakikishia inajivunia sana ule USEKULA radhi. Askofu Kilaini wa wa wanataaluma wa Agano Ilikuwa ikielezwa kuwa wasomaji wenziwe, akiwemo wake. Hivyo ni rahisi nchini humu alimuunga Jipya wanasema haijulikani kuna wakati mmishionari mwandishi huyu, kuwa kwa makanisa kutamba mkono kwa hilo. Serekali nani aliandika INJILI mmoja ama wa Kizungu mkasa huu kweli ulitokea na kujitanua watakavyo ya Mapinduzi ya Zanzibar UFUNUO (REVELATIONS) na ni wa kweli, tafadhali wakielewa kuwa wanalindwa itafakari kwa makini kabisa au Marekani alimuomba lakini dhamira ya huyu atupashe tushushe mioyo na Serekali. Kama ule mkasa msimamo huu wa Kanisa Mzee Karume ampe huyu yetu. Sasa iweje leo hii ulioelezwa hapo nyuma wa Katoliki. Wasijisahau kuwa Ignatius de Loyala ilikuwa mmishionari kipande cha Kanisa Katoliki limepata Al Marhum Mzee karume ni wao ni Waislamu. Wenzao ni kufanikisha ama kutimiza ardhi pamoja na rukhsa fursa pana ya kuweza kweli, basi viongozi wa leo hao wa Kanisa Katoliki utabiri uliomo katika Injili ya kujenga kanisa. Mzee kuvamia Zanzibar kiasi hicho wa Zanzibar wamepotoka wanaongoza kuivamia hiyo, 6, 13, 17 na 18. Hakuishia Karume hakumpa jibu la kilichoelezwa katika toleo la sana na huo USEKULA Zanzibar wanakumbuka kila hapo tu. Kaamrisha kuwa kumkatalia maombi yake wiki iliyopita? WAO. Watambue kwamba dakika kuwa wanatakikana “We must see black as white wala kumkubalia bali alimualika waonane siku ya Imetokea sehemu nyingi huko Ulaya Magharibi kulitumikia kanisa leo na if the Church says so (THE Jumapili. Siku hiyo ya ahadi sana nchini humu viongozi ambako ndiko wanadai wakati wote. Kuivamia SECRET HISTORY OF THE Mzee Karume alimtembeza wa Makanisa ya kila aina wanautekeleza sana huo Zanzibar ni katika njia za JESUITS). Kama ni haya mgeni wake kupitia wameweza kupata ardhi USEKULA, wao ni manafiq. kutimiza ahadi na maazimio kweli, basi Zanzibar kweli makanisa takriban yote kwa ulaghai mkubwa sana. Wasomaji watakumbuka kama yale ya Nairobi, wamevamiwa. yaliyomo Zanzibar mjini. Huwakurubia Wananchi kwamba Uturuki imekuwa Kenya. Wasomaji bila shaka Inaelezwa kuwa takriban vijijini na kuahidi kujenga ikijaribu sana kujiunga na Inajulikan wazi hapa watakumbuka ule mkutano makanisa yote yalikuwa shule na zahanati kwa minajili Umoja wa Ulaya (European duniani kuwa Mfalme mkubwa uliowakutanisha ama tupu au yakiwa na ya wanakijiji hao. Hawataji Union) kwa muda mrefu. aliyebaki mwenye kauli ya Maaskofu kutoka Afrika waiumini wa chache sana. kamwe kama pia watajenga Tangu kuingia kuiongoza mwisho (Abnsolute Monarch) uliofanyika Nairobi mwaka Baada ya hapo Mzee makanisa kwa sababu Turkey Waziri Mkuu Tayipp ni Papa aliye Vatican. Papa 1994. Labda bila kujua hayati Karume alimuomba mgeni wanafahamu wakitoa ukweli Erdogan kafanya mabadiliko Leo XIII aliyetawala kuanzia Cardinal Otunga wa Kenya wake awe na subra asiwe huo unaweza kuwaamsha mengi sana kuifanya nchi hiyo 1878 mpaka 1903 aliamuru alifichua mbinu walizopanga na haraka ya kurudi kwao. hawa wanakijiji na pengine kweli iwe ya kidemokrasia. hivi:- kuupiga vita Uislamu Afrika Hivyo alimualika tena mgeni wakakataa kuingiliwa. Hayo ni yale waliyokuwa “It is always urgent indeed na Tanzania. Sijui ni kiasi huyo wakutane siku ya Hata wanapojenga shule wakisema ndiyo yanazuia the chief preoccupation to think gani viongozi wa Serekali Ijumaa. Siku hiyo ilipofika kwa mfano wanafunzi wa Turkey kukubaliwa kjiunga best how to serve the interests of ya Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Karume alimtembeza Kiislamu hulazimishwa na Umoja huo. Lakini ukweli Catholicism. …….which is the walivyo na msimamo kuhusu mgeni wake kupitia misikiti kuhudhuria misa. Haijatokea ni kwamba Ulaya hawaitaki only true religion (p 150, Vicars Uislamu ingawa kweli takriban yote ya Zanzibar hata siku moja vijana wa Uturuki kuwa mmoja wao of Christ by Peter de Rosa).” takriban wote ni waumini Mjini. Misikiti yote siku Kikristo waliomo katika shule kwa vile ni nchi ya Kiislamu. Hapa anamaanisha wa dini hiyo ya kweli na haki. hiyo ilikuwa imefurika, za Kiislamu kulazimishwa Ukweli ni kwamba huyu kwamba ni wajibu wa kila Lakini wakumbuke kuwa ni na hiyo ndiyo ilikuwa ni kutawadha na kuingia Baba Papa wa sasa Papa Mkatoliki kuutumikia khulka ya Kanisa Katoliki msikitini kuswali. Nao Benedictine XII amekuwa Ukatoliki ambayo ndio dini kawaida; yaani misikiti hiyo kwamba kila wanapokuwepo viongozi wa Serekali huwa anawaongoza watu wa kabila pekee (duniani). Kanisa haikufurika kwa sababu mstari wa mbele kusaidia lake la Bavaria, Ujeremani, halikuishia hapo. Wasomaji wao, ni lazima washike Mzee Karume alitoa amri makanisa kupata ardhi. Bila kupinga kabisa Uturuki kuwa bila shaka wanakifahamu hatamu ya utawala. ama kuwajulusha Waislamu shaka baadhi ya wasomaji mwanachama wa Umoja wa kitengo cha Kanisa hilo Uzoefu walionao kuwa wahudhurie swala ya watakumbuka jinsi gani ardhi Ulaya. Chama cha Chancellor watawa wake wa kiume Waislamu wa Tanganyika Aljumaa kwa sababu atakuwa ya makaburi ya Waislamu wa sasa wa Ujeremani, (DANGANYIKA?) unatosha wakiitwa THE JESUITS. na mgeni. La, haikuwa hivyo huko Kyela ilivyoporwa Angela Markus kina pata kuwa fundisho zuri kwao. Hawa ni kikosi cha sakari wa bali ni kawaida tu ya waumuni kwa shinikizo la Mkuu wa nguvu yake kutoka huko. Kwa msaada wa Serekali, kuhudhuria kwa wingi swala Wilaya na kupewa kanisa. miguu (foot soldiers) ambao Papa huyu kasema wazi Waislamu wa Tanganyika hiyo muhimu. Baada ya Wazee wa Kiislamu wa hapo wao husafisha njia Ukatoliki kuona hivyo Mzee Karume Kyela walilalamika sana, kuwa Ulaya ni ya Wakristo upite kwa urahisi. Bila ( D A N G A N Y I K A ? ) alimuuliza mgeni wake kuwa lakini kelele zao na jitihada na ametamka kutaka katiba shaka wamo tele Zanzibar. wamebanwa koo hata kufuatana na hali aliyoiona zao hazikufua dafu, ardhi ya Umoja Wa Ulaya na zile Aliyekianzisha kikosi hicho hawawezi kufurukuta ya miskitini akilinganisha na yao ikaporwa. Haijulikani za nchi zingine zitamke anajulikana kama Ignatius kukohowa. makanisa, kipi kinatakikana kama viongozi wa Serekali hivyo. Msimamo wake huyu de Loyola (ana historia Jee, viongozi wa Serekali zaidi, Misikiti au Makanisa. huko Zanzibar wanaweza Papa Benedict XII ni mkali ya kutisha). Inasemekana ya Mapinduzi Zanzibar Inasemekana kuwa nao kuwasaidia mapadri na sana dhidi ya Waislamu alianzisha kikosi hicho kwa wanataka wakumbukwe mmishionari yule Mzungu wachungaji kiasi hicho. na Uislamu. Itakumbukwa madhumuni mawili (i) na historia kama wao ndio (ama Marekani) akawa hana Ushahidi uliopo mpaka jinsi gani alivyomkashifu universal political power and Waislamu walioupiga ama jibu. Alifunga virago vyake na sasa nikuwa Serekali ya Rasl-ul-Llah Muhammad (ii) universal church; yaani waliofanikisha kuumaliza kuondoka bila kulizusha tena Mapinduzi ya Zanzibar SAW na akakataa kuomba kutawala ulimwengu. Wengi Uislamu Zanzibar?

Description:
“Wakati askari wa Marekani walipowasili kujenga . (hayati) Christopher Hitchens, mpenda vita aliyetaka . maneno mengine, askari wa. Marekani
See more

The list of books you might like

Most books are stored in the elastic cloud where traffic is expensive. For this reason, we have a limit on daily download.