ebook img

Wasia wa mwalimu Nyerere kwa CCM PDF

32 Pages·1991·1.182 MB·Swahili
Save to my drive
Quick download
Download
Most books are stored in the elastic cloud where traffic is expensive. For this reason, we have a limit on daily download.

Preview Wasia wa mwalimu Nyerere kwa CCM

DT 448.2 NO W371 1991 CHAMAGIZAPINDUZES S S STANFORD LIBRARIES P27-64 SIA WA MWALIMU ERERE KWA CCM na Idara ya Uenezi wa Siasa na Ushirikishaji Umma ya HalmashauriKuu ya Taifa. DT 448.2 NO W371 1991 D Z U D C IN H P AMAMCAHA STANFORD LIBRARIES } P27-64 WASIA WA MWALIMU NYERERE KWA CCM Kimetolewa na Idara ya Uenezi wa Siasa na Ushirikishaji Umma ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa. Leist WASIA WA MWALIMU NYERERE KWA CCM HOTUBAYAMWENYEKITIWACHAMACHAMAPINDUZI MWALIMUJULIUS K. NYERERE KWENYEMKUTANO MKUU MAALUM WA TAIFA DAR ES SALAAM , AGOSTI 16, 1990 Ndugu Wajumbe wa Mkutano Mkuu, Waheshimiwa Wageni wetu na Rafiki zetu, Kidumy.Chamacha Mapinduzi! Tumekusanyika katika Mkutano huu hasa kwa kazi moja ku bwa! kumteuamwenzetu mmoja atakayesirnamishwanaChamaili achaguliwakushikakitichaRaiswaJamhuriyaMuungano.Lakini vilevilenafasihiiitatumiwakuwaombaWaju.nbekufanyamabadiliko machachekatikaKatibayaChama,nakumchaguaMwenyekitimpya, pamoja na kufanya uchaguzi mwingine wowote utakaotokana na kitendo hicho. KuhusumgombeakitichaRais,HalmashauriKuuyaTaifaitam pendekezaALIHASSANMWINYIkwamarayapili.Hatukuwana shakalolotejuuyauamuziwetuhuo. RaisMWINYIamewafanyia watuwetunaTaifaletukazikubwasanakatikakipindichamatatizo mengi kabisa. Matatizo hayo, hasa ya uchumi, bado hayajaisha; mijadalayanamnayakupambananayobadoinaendelea,nalazima iendelee;nahatuazakuyatatuanazoziendeleekuchukuliwa.Maana wakatiwamatatizokutofanyalolotenakonikitendo,nakatikahali kama yetu ni kitendo cha kujiangamiza! Mabadiliko makubwa ya Katiba yanayopendekezwa kwa Wajumbenikurudishwakwa“kofiambili” kulingananautaratibu wetuwaawali,yaanikuunganishamajukumuyaChamanayaSerikali katikangazi fulanizauongozi. Sababukubwazapendekezohiloni kuimarishauongozikatikangazizinazohusika,nakupunguzaghara ma zauendeshaji. Zote zitaelezwabaadaye. Tatu, nimeelewana na wenzangu katika Kamati Kuu na HalmashauriKuuyaTaifakwambasasawakatiwanguumefikawa kuachakitichaMwenyekitiwaChamachaMapinduzi. Hiini ngazi mojayauongoziambayotanguawalitulipendeleakuwaMwenyekiti waChamachetu,naRaiswaJamhuriyaMuunganoawenimtuyule yule.Sababukubwazilizotufanyatukubalikuyatengamajukumuhaya kwa muda, zilitokana na hofu na mashaka ya kipindi cha mpito. 1 MabadilikoyauongozikutokaAwamuyaKwanzakwendaAwamu yaPiliyamemalizikakwautulivumkubwasana.Hatunasababutena yakuendeleakuyatengamadarakahaya.Sasanivizuriturejeekwenye uamuziwetuwaawalinawamsingikwambaMwenyekitiwaChama chaMapinduziawepiandiyeRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tan zania. Tunamshukuru sana mwenzetu, Ndugu Ali Hassan Mwinyi, kwamba uongozi wakewabusara katika kipindi cha miakamitano iliyopita, umetufikisha hapa. Ndugu Rais, Asante sana! Chama kimoja na Vyama vingi. Ndugu Wajumbe: Uchaguzi wa sasa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,naWabunge,utaendeshwakwakufuataKatibayetuya sasayaChamakimoja.Hatukusudiikubadiliutaratibuhuukwasasa. LakinimjadalajuuyautaratibuutakaoiongozaTanzania kati kasikuzambeleumeanzananimatumainiyangukwambautaendelea. Sheriahutungwakusimamiavitendo;nakatikanchiyetuhivisasani kinyumechaSheriakuanzishachamakinginechasiasa.Wotehatuna budituitiisheriahiimpakahapoitakapobadilika.Lakininchihiiin ajitahidikuwanchiyakidemokrasiayaChamakimoja;nataratibu zamtukutoamaonijuuyamabadilikoamayaSheriailiyopoauya KatibawakatianafuataSheriazilizopolazimaziruhusiwekatikamfu mo wo wote unaoitwa wa kidemokrasia. Kwa kweli sifa moja ya demokrasiayakwelini kwambainawapawachachenafasiyakisher iayakujaribukuwashawishiwengiwaoneuborawamaoniyao. Hii ndiyonjiapekeeyakuletamawazomapyanatabiampyakatikajamii kwaamaninautulivu.Nidemokrasiaganihiyoinayozuiawananchi kuihojikatibayake,ausherianyingineyoyoteyanchi?Demokrasia ikichukuasurayaudikiteta,udikitetawenyeweutakuwanasuragani? Suala hili halimo katika Agenda ya Mkutano wetu; bado hatujaelewavizuriuzitowamatokeoyamabadiliko,nabadomjada la wenyewehaujafikiahatuayakutuwezeshakufanyauamuzisasa, au hata kuwekatareheyauamuzi. Maoni yangubinafsini kwamba sivizurijambokubwakamahililikaamuliwakwapupa.Nivizuritujipe mudawakutoshakuelewamaanayauamuziwowotetutakaoufanya. TukiamuakuendeleanaChamakimoja,basituwetumeelewasababu 2 zake,natukiamuakuanzishamfumowaVyamaVingi,basituwepia tumeelewa sababu zake. Na kwa hiyo ni wajibu wetu kupima kwa makinisanahojazinazotolewanapandezotembilizamjadala.Ndiyo maananivizurimjadalaupatemudawakutosha,nauendeshwekwa nakini. Lakini baada ya kusema hayo ni lazima nisisitize yafuatayo: kwanza, jambo kubwa kwa maendeleo ya nchiyetu ni kuendeleza demokrasiyenyewe,nasiyomuundounaoiendesha.Napili,sualahili litakapoletwaililiamuliwenaMkutanowaChama,hojazitakazoon gozauamuzi huo lazimaziwenauhusiano nahalihalisi namahitaji ya Tanzania ya wakati huo. Tanzania ilianza uhuru wake ikiwanavyamavingi; lakini hai kuwanademokrasia.KatikauchaguzimkuuwaTanganyikawa1960, kablayauhuruwetuTANUilishindananavyamavingine.Katikaviti 71 vyakuchaguliwa, TANUilichukuaviti70nakupotezakiti kimo ja. Kile tulichopoteza tulikuwa tumepingwa na mwanachama wa TANU ambaye hakukubali mjumbe aliyeteuliwa rasmi na TANU kugombea kiti hicho. Alijisimamisha mwenyewe, akapingana na TANU,akatushinda! Katikajimbohilolauchaguzindipopekeyake palipotokeauchaguziwakweli;lakinikatikamajimbomengineyote 70yaliyobakiamahapakuwanauchaguzikabisa – katikamajimbo 58 - amapalikuwa na uchaguzi wa bandia, - katikamajimbo 12 - kati ya Chama cha kweli, TANU, na Vyamajina tu. KatikauchaguziwaRaiswaJamhuri yaTanganyikauliofanyi ka Oktoba, 1962, mgombea wa TANU alipingwa na mgombea wa Chamakingine.Lakinihuunaoulikuwaniuchaguziwakushindanisha ChamachakwelinaChamachaupuuzikidogo.Chamachaupinzani kilipatakura21, 276naTANUilipatakaribu kura 1,128,000. Vyama vilivyokuwavikipingaTANUamavilikufaauvilianzakufavifovya kawaida. HalihiyondiyoiliyotufanyatuundeTumeyakutusaidiakupata maoniyawananchiyakutuwezeshakuanzishamfumowademokra siayaChamaKimoja. KatikauchaguziwaBungewa 1965 tulitumia mfumo uliopendekezwa na Tume hiyo. Tuliamua kushindanisha wanachamawawiliwaChamachaTANU, nakuwapanafasiwapiga kurakumchaguammojawapo.Matokeoyakeyalikuwayademokra siayakwelikweli.Kwamarayakwanzakabisakulikuwanauchaguzi 3 katika nchi nzima; na Wabunge wazamani, pamoja namawaziri, waliweza kushindwa na wagombea wapya. Huo ndio utaratibu tunaoendeleanaohadileo.HatukuanzishamfumowaChamaKimo jailikuondoademokrasia,balitulianzishamfumowaChamaKimo ja ili kuanzisha na kuendeleza demokrasia. UchaguziwaZanzibarwamwaka 1963ulikuwawaVyamaVin. gi. LakiniwakoloniWaingerezanaWatejawaowalifanyambinuili Waafrika, ambao ndio wengi, wasishinde katika uchaguzi huo na kuunda Serikali ya Zanzibar huru. Kwa hiyo Serikali ya Zanzibar " huru” iliundwa na wapenzi wa Sultani. Utaratibu wo wote un aowanyimawengi hakiyao nauwezi ukaitwademokrasia. Zanzibar yaDecember, 1963,ilikuwainavyamavingi,lakinihaikuwademokra sia.NaWaswahiliwamesema:Wengiwape,usipowapa,watanyakua wenyewe. Tarehe 12, Januari, 1964, wengi, waliokuwawamenyim wahakiyaokwambinuzakipumbavu, waowenyewewakajichuku liahakiyao.SerikaliyaMapinduzihaikuwaSerikaliyakuchaguļiwa kwakupigakura;lakiniilikuwaniSerikaliyawengiambayowaliipa ta kwa kukubali kujitolea mhanga. VyamavilivyopingaMapinduzi vilivunjwa, Chamakimoja kilichoyakubali mapinduzi kilijiungana ASP. Hiyo ndiyo historia fupi ya jinsi tulivyoanzisha mfumo wa DemokrasiayaChamakimoja.Mpaka1977Tanzaniailikuwana Vya maViwili,lakinimfumowaChamakimoja.MwakahuoCCM ikazali wa na kuwa mrithi wa Vyama hivyo na mfumo huo. NduguWajumbe, inawezekanakwambabadozikosababu nzi tozaleozakuendeleakuwanamfumowaChamakimoja. Nivizuri sababu hizo zikajadiliwa na zikaeleweka. Haitatosha kurudia hoja zilezilezamwanzowauhaiwauhuruwetu. Kwamfano, wakatiule sheriailikuwainaruhusuvyamavingi,lakinihatukuwanavyamavya maana; sasa sheria hairuhusu kuanzishwa kwa Chama kingine cha siasa.Lakinimimisiaminikuwasheriaikiruhusuvyamavinginevian zishwe hatutaweza kupata Chama cho chote cha maana. Naamini kuwasasauko uwezekanowakupataChamaauvyamaambavyoni vizuriauangalauniafadhali-fadhalikidogo. Lakinipamojanahayo tukiridhikakwambazikosababuzakutoshazakuendeleanamfumo waChamakimojabasinatuendeleenaChamakimojabilayakuona hayanabilayakumwombaradhimtuyeyote.Kipimo chakiatumpime 4

See more

The list of books you might like

Most books are stored in the elastic cloud where traffic is expensive. For this reason, we have a limit on daily download.