ebook img

mifano kutoka kuli na vuta n'kuvute omar abdalla adam PDF

214 Pages·2014·0.61 MB·Swahili
by  
Save to my drive
Quick download
Download
Most books are stored in the elastic cloud where traffic is expensive. For this reason, we have a limit on daily download.

Preview mifano kutoka kuli na vuta n'kuvute omar abdalla adam

KUCHUNGUZA DHAMIRA ZA KIJAMII NA KIUTAMADUNI KATIKA RIWAYA YA KISWAHILI: MIFANO KUTOKA KULI NA VUTA N’KUVUTE OMAR ABDALLA ADAM TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SHARTI PEKEE LA KUTUNUKIWA DIGRII YA UZAMIVU (PH.D KISWAHILI) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA 2014 UTHIBITISHI Mimi Profesa T.S.Y.M. Sengo, ninathibitisha kuwa nimesoma tasinifu hii iitwayo Kuchunguza Dhamira za Kijamii na Kiutamaduni katika Riwaya ya Kiswahili: Mifano Kutoka Kuli na Vuta N’kuvute, na ninapendekeza ikubaliwe na Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania kwa ajili ya kutimiza sharti pekee la kutunukiwa Digrii ya Uzamivu (PhD) ya Kiswahili ya Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania. …………………………………………………………………. Sheikh, Profesa, Daktari, T.S.Y.M. SENGO (Msimamizi) ………………………………………….. Tarehe i i HAKIMILIKI Hairuhusiwi kuiga au kunakili kwa namna yoyote sehemu yoyote ile ya tasinifu hii kwa njia yoyote kama vile, kielektroniki, kurudufu nakala, kurekodi au njia yoyote nyingine bila ya idhini ya mwandishi au Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwa niaba. ii i TAMKO Mimi, Omar Abdalla Adam, nathibitisha kuwa tasinifu hii ni kazi yangu halisi na haijawahi kuwasilishwa katika Chuo Kikuu kingine chochote kwa ajili ya kutunukiwa shahada kama hii au nyingine yoyote. …………………………………………….. Saini …………………………………………….. Tarehe iv TABARUKU Ninapenda Kuitabaruku kazi hii kwa Wazazi wangu, Mke wangu na Mtoto wetu. v SHUKURANI Kazi hii ya utafiti ni matokeo ya mchango na ushirikiano mkubwa baina yangu na watu wengine, wakiwemo walimu wangu. Kwa kuwa sio rahisi kuandika kwa kina mchango wa kila aliyenisaidia kuikamilisha kazi hii, wafuatao wanastahiki shukrani za kipekee. Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia uhai, uzima, nguvu na fahamu katika kipindi chote cha masomo yangu. Pili, napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa msimamizi wangu wa tasinifu hii, Sheikh, Profesa, Daktari, T.S.Y.M Sengo kwa kuniongoza vyema katika kila hatua ya utafiti huu. Hakusita wala kuchoka kunishauri na kuirekebisha kazi hii katika hatua zote mpaka ilipokamilika. Msaada wake hauwezi kukisiwa wala kulipwa. Ninachoweza kusema ni kutoa asante sana Profesa Sengo, Mwenyezi Mungu Akubariki na Akujalie afya njema na maisha marefu. Aaamini, Aaamini, Aaamini. Tatu, napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa walimu wengine wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania kwa msaada mkubwa walionipatia katika kipindi chote cha masomo yangu. Walimu hao ni Profesa, Emmanuel Mbogo, Profesa H. Rwegoshora, Dkt. Peter Lipembe. Dkt. Anna Kishe, Dkt. Hanna Simpasa, Dkt. Zelda Elisifa na Mohamed Omary. v i IKISIRI Riwaya za Kuli na Vuta N’kuvute zimepata umaarufu na kuwa riwaya nzuri na imara za mtunzi Shafi Adam Shafi. Utafiti huu ulifanywa kwa nia kuu ya kuchunguza dhamira za kijamii na kiutamaduni zinazojitokeza katika riwaya hizo mbili (Kuli na Vuta N’kuvute). Katika kutimiza nia hii, tulikusanya data kwa kutumia mbinu za maktabani, mahojiano ya ana kwa ana kufanya na uchambuzi wa kimaudhui. Data zilizokusanywa zilichambuliwa kwa kutumia mbinu za mkabala wa kimaelezo na ule wa kidhamira. Nadharia za Simiotiki, Saikolojia Changanuzi na dhima na kazi, ndizo zilizotumika katika kuhakiki riwaya hizo mbili. Matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba, dhamira zinazojitokeza zaidi katika riwaya hizo mbili ni matabaka katika jamii, ndoa za kulazimishwa, mapenzi na ukarimu katika riwaya ya Vuta N’kuvute. Katika Kuli, dhamira zinazojitokeza zaidi ni busara na hekima, umuhimu wa elimu, umasikini, utamaduni na mabadiliko yake, ukombozi katika jamii na masuala ya uzazi. Dhamira hizo zimesheheni uhalisia katika maisha ya sasa ya jamii ya leo. Pia matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba, mbinu za kisanaa zinazotumiwa na mtunzi katika uwasilishaji wake wa dhamira ni upambaji wa wahusika, usimulizi, kuingiliana kwa tanzu, tashibiha, misemo, takriri, taswira, motifu na matumizi ya barua. vi i YALIYOMO UTHIBITISHI ......................................................................................................... i HAKIMILIKI ........................................................................................................ ii TAMKO ................................................................................................................. iii TABARUKU .......................................................................................................... iv SHUKURANI ......................................................................................................... v IKISIRI ................................................................................................................. vi VIAMBATANISHO ............................................................................................. xii SURA YA KWANZA ............................................................................................. 1 1.0 UTANGULIZI ............................................................................................... 1 1.1 Utangulizi ....................................................................................................... 1 1.2 Usuli wa Tatizo la Utafiti ................................................................................ 1 1.3 Tatizo la Utafiti ............................................................................................... 6 1.4 Lengo la Jumla................................................................................................ 7 1.4.1 Malengo Mahususi .......................................................................................... 7 1.4.2 Maswali ya Utafiti .......................................................................................... 8 1.5 Umuhimu wa Utafiti ....................................................................................... 8 1.6 Mipaka ya Utafiti ............................................................................................ 9 1.7 Changamoto za Utafiti .................................................................................... 9 1.7.1 Utatuzi wa Changamoto .................................................................................10 1.8 Mpangilo wa Tasinifu ....................................................................................10 1.9 Hitimisho .......................................................................................................11 SURA YA PILI .....................................................................................................12 2.0 MAPITIO YA KAZI TANGULIZI NA MKABALA vi ii WA KINADHARIA .....................................................................................12 2.1 Utangulizi ......................................................................................................12 2.2 Maana ya Riwaya ..........................................................................................12 2.3 Historia na Chimbuko la Riwaya ya Kiswahili ...............................................17 2.4 Dhamira katika Riwaya ya au kwa Kiswahili .................................................19 2.5 Muhtasari .......................................................................................................35 2.6 Fani katika Riwaya ya Kiswahili ....................................................................36 2.6.1 Utangulizi ......................................................................................................36 2.6.2 Vipengele vya Kifani .....................................................................................36 2.7 Muhtasari .......................................................................................................48 2.8 Kazi Tangulizi Juu ya Riwaya za Shafi Adam Shafi .......................................48 2.9 Mkabala wa Kinadhari ...................................................................................55 2.9.1 Nadharia ya Simiotiki ....................................................................................55 2.9.2 Nadharia ya Dhima na Kazi ...........................................................................57 2.9.3 Nadharia ya Saikolojia Changanuzi ................................................................58 2.10 Muhtasari .......................................................................................................60 SURA YA TATU ...................................................................................................61 3.0 MBINU NA ZANA ZA UTAFITI .............................................................61 3.1 Utangulizi ....................................................................................................61 3.2 Mpango wa Utafiti .......................................................................................61 3.3 Eneo la Utafiti .............................................................................................62 3.4 Aina ya Data Zilizokusanywa ......................................................................62 3.4.1 Data za Msingi ............................................................................................62 3.4.2 Data za Upili ...............................................................................................63 ix 3.5 Watafitiwa ...................................................................................................63 3.6 Ukusanyaji wa Data .....................................................................................64 3.6.1 Uchambuzi wa Nyaraka ...............................................................................64 3.6.2 Mahojiano ya Ana kwa Ana.........................................................................65 3.6.3 Usomaji na Uhakiki wa Riwaya Teule .........................................................66 3.7 Uchambuzi wa Data.....................................................................................66 3.7.1 Mkabala wa Kidhamira ................................................................................67 3.8 Usahihi, Kuaminika na Maadili ya Utafiti ....................................................68 3.8.1 Usahihi wa Data ..........................................................................................68 3.8.2 Kuaminika kwa Data ...................................................................................68 3.9 Maadili ya Utafiti ........................................................................................68 3.10 Hitimisho.....................................................................................................69 SURA YA NNE .....................................................................................................70 4.0 UWASILISHAJI, UCHAMBUZI WA DATA NA MJADALA WA MATOKEO YA UTAFITI ........................................................................70 4.1 Utangulizi .....................................................................................................70 4.2 Muhtasari wa Riwaya ya Vuta N’kuvute .......................................................71 4.3 Uchambuzi wa Dhamira katika Riwaya ya Vuta N’kuvute.............................71 4.3.1 Matabaka Katika Jamii ................................................................................72 4.3.2 Ndoa ya Kulazimishwa ................................................................................81 4.2.3 Mapenzi ......................................................................................................91 4.3.3.1 Mapenzi ya Bwana Raza kwa Yasmini ........................................................96 4.3.3.2 Mapenzi ya Yasmini kwa Waswahili ......................................................... 102 4.3.3.3 Upendo wa Yasmini kwa Mama Yake ....................................................... 104

Description:
Katika kutimiza nia hii, tulikusanya data kwa kutumia mbinu za Mbise (1996), Njogu na Chimerah (1999), Wamitila (2002; 2008), Walibora (2013).
See more

The list of books you might like

Most books are stored in the elastic cloud where traffic is expensive. For this reason, we have a limit on daily download.